Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishindwa kutumia njia yeyote mke wako asijueMkuu nlikua safar mama anakupigia sm kamchukulie kitu flani utaacha kumchukulia
Mvumilie tu mkuu, huyo ni wako ndiye mke ambaye Mungu amemuumba kwa ajili yako na akakukutanisha na kuwaunganisha muwe pamija.Habar wakuu huyu mke nimfanyaje...nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama...baada ya nguo alio taka nyingine kumwambia aachane nae yakamtoka maneno mengi Hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa...nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Inasikitisha mnoHabar wakuu huyu mke nimfanyaje...nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama...baada ya nguo alio taka nyingine kumwambia aachane nae yakamtoka maneno mengi Hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa...nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
We nae n jipuUnakosea Sana kumnunulia nguo mama yako ,,
Wewe si mume wake kwamba unayajua mahitaji yake vizuri.
Wala mama yako sio mwanao.
Mpatie mama pesa aangalie vipaumbele vyake,, wala mkeo hapaswi kujua.
Mke namfanyia mambo makubwa kuliko mama yangu alafu Tena jambo dogo nataka kumfanyia mama nijifiche kisa mke na mke namfanyia mengiKama ni mke mvumilie,kama ni mchumba tu piga chini kumanina.
Ila kama ni mke mchane aache hiyo roho kwa upande wake.
Ila kwa upande wao sasa rekebisha hiyo,uwe unamtumia mama yako fedha ili ajue yeye ananunua nini tena umtumie kimya kimya tu,huko sio kumuogopa mkeo bali ni kumaintain privacy kati yako na mama yako.
Why mke ajue unapomfanyia mama jambo ?
Kwani kila unachomfanyia mkeo huwa unamhambia maa hako ? Kama ni hapana basi maana yake unaheshimu privacy ya mkeo ndio maana ukimnunulia kitu unavunga.
Badi na ukimnunulia mama tulia usimuambie mkeo
Litakuwa ni Kahaba la sisiemuHabar wakuu huyu mke nimfanyaje...nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama...baada ya nguo alio taka nyingine kumwambia aachane nae yakamtoka maneno mengi Hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa...nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Sasa mkuu mke nimemfanyia mengi mno kuliko hata mama yangu mzazi Sasa jambo dogo Hilo nilifanye kifiche chukulia mfano mke awe ametumia 20m alafu mama unataka atumie laki moja utafanya kwakujificha mke asijue Hali yakuwa yeye kashatumia vingi mnoKwanini unamnunulia Mama yako zawadi unamwambia mkeo? Kulikuwa na ulazima gani? Wewe ndio shida na utaiuwa ndoa yako! Kwanini huna kifua cha kutunza hata jambo dogo kama hilo mpaka umjuze mkeo au mkeo ajue? Kwa hiyo kila kitu unachomfanyia mama yako unamwambia mkeo?
Hayo makubwa unayomfanyia mkeo je huwaunamuambia mama yako?Mke namfanyia mambo makubwa kuliko mama yangu alafu Tena jambo dogo nataka kumfanyia mama nijifiche kisa mke na mke namfanyia mengi
Kutumia pesa mingi sio kigezo, unachopaswa kujua wanawake ndivyo walivyo hivo ili kuepusha migongano usimshirikishe yakuhusuyo wewe na familia yako.Mkuu mke kashatumia Hela nyingi mno kulinganisha nanilichomnunulia mama
hata kama ni mchoyo😂Huyooooooooooooooo ni chaguo lako.
Hata kama hampendi mama mkweeeeeeeee.
Unayomfanyia mkeo huwa unamuambia mama yako ?Mama mkwe(mama yake) hapendi kununuliwa nguo
Mkuu sikumwambia nikitu kaona kinapita kwaiyo vyake nivingi kuliko Iko kimoja kinachopitia akakionaUnayomfanyia mkeo huwa unamuambia mama yako ?
Kama haumuambii mama yako je ni kwa nini ya mama yako sasa umuambie mkeo ?
Zingatia privacy mzee.