malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #61
Ndo natafuta namna yakundiplineAnahitaji kuwa disciplined siyo wa kumchekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo natafuta namna yakundiplineAnahitaji kuwa disciplined siyo wa kumchekea
Nihatari mkuuNdio ukome kuokota
Unataka umle kimasikharaMlete hapa kwangu nimpe mafunzo
Hapana mkuu, ni kumpa dondoo tu za maishaUnataka umle kimasikhara
Ushauri mbovu huu. Yaani zawadi ya mama unipangiyeUnakosea Sana kumnunulia nguo mama yako ,,
Wewe si mume wake kwamba unayajua mahitaji yake vizuri.
Wala mama yako sio mwanao.
Mpatie mama pesa aangalie vipaumbele vyake,, wala mkeo hapaswi kujua.
Ndo hapo sasaUshauri mbovu huu. Yaani zawadi ya mama unipangiye
Hao wanawake njaa njaa ipo siku watakuua warithi sabufa lako.. FUKUZA 😹Una akili sana, why umfanyie roho mbaya mtu amehangaika na mtoto wake toka mdogo, labda bila yeye asingekua hapo alipo Leo hii,,
Kasome Mika 7:6Habar wakuu huyu mke nimfanyaje nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama.
Baada ya nguo aliyotaka nyingine kumwambia aachane naye yakamtoka maneno mengi hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa.
Nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Hivi wanawake waliumbwaje. Mbona ni makatili kiasi hichoAisee yaani bora ya ww, mm mama yangu anaumwa muda mrefu kwa hiyo ametoka mkoa kuja hapa mjini kwa ajili ya matibabu. Sasa tuna utaratibu familia huwa tunachanga kwa ajili ya matibabu yake, maana hiyo clinic yake anayo attend hawatumii bima kabisa. Cha kushangaza akiniomba hela labda nikamwambia sina au subiri siku kadhaa, anamind na anasema kwa hiyo hela zote ndiyo umemtibia mama yako, maana anajua mama yuko hapa kwangu na mm ndiyo natoa zaidi. Huwa ananiviruga sana yaani hajali hata afya ya mama mkwe wake, yeye anataka kutimiza mahitaji yake tu. Wake zetu ni tatizo kubwa
Heeeeee. Mbona Mimi namnunuliaga Suti baba yangu Na mama yupo kwani nikosa kumnunulia nguo mzazii au Kisa umeoa au kuolewa ndo usimnunulie Zawadi mzaziMkeo ana matatizo lakini pia wewe hukupaswa kumnunulia mama yako nguo wewe sio mume wa mama yako kama baba yako yupo hai ulipaswa umpe yeye hela ndo amnunulie mkewe next time hela zote unazotuma kwenu tuma kwa baba yako
Sahihi kabisaMkuu, kudeal na wanawake inahitajika diplomasia zaidi kuliko nguvu.
Umefanya finishing mzuri Wewe Ni fundii 🤣🤣🤣Yupo kijana wangu ananipenda sana, naamini siku mke amfanyie ulichofanyiwa kuhusu mama mzazi itakuwa kesi.
Wanawake wengi hawapendi mama mkwe, hiyo ni nguo tu, siku ukimnunulia mama yako gari itakuwaje ?
Anyways, tumewakuza kwa shida sana, msitusahau.
Nimechekaa hatariiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyooooooooooooooo ni chaguo lako.
Hata kama hampendi mama mkweeeeeeeee.