Uko sahihi kabisaaa. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Mkeo ana matatizo lakini pia wewe hukupaswa kumnunulia mama yako nguo wewe sio mume wa mama yako kama baba yako yupo hai ulipaswa umpe yeye hela ndo amnunulie mkewe next time hela zote unazotuma kwenu tuma kwa baba yako
TrueUnakosea Sana kumnunulia nguo mama yako ,,
Wewe si mume wake kwamba unayajua mahitaji yake vizuri.
Wala mama yako sio mwanao.
Mpatie mama pesa aangalie vipaumbele vyake,, wala mkeo hapaswi kujua.
Wewe ndio mume wa mama Yako?Habar wakuu huyu mke nimfanyaje nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama.
Baada ya nguo aliyotaka nyingine kumwambia aachane naye yakamtoka maneno mengi hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa.
Nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Utamnunuliaje mama yako nguo mbele ya mke wako?wanawake huwa hawapendani hata iweje.Ungelitoka na Mama yako kwend adukani kumnununulia nguo pasipo na mke wako kujuw alakini wewe inaonyesha umekwend anao wote wawili kuwanunulia nguo pamoja au umnunulia nguo Mama yako wakati mke wako anaiona hataweza kufurahi hata siku moja.Wanawake huwa wan wibu w akijinga sana jifunze kutokana na makosa uliyoyafanya usirudie tena .Habar wakuu huyu mke nimfanyaje nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama.
Baada ya nguo aliyotaka nyingine kumwambia aachane naye yakamtoka maneno mengi hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa.
Nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Ni kweli Tena sanaYupo kijana wangu ananipenda sana, naamini siku mke amfanyie ulichofanyiwa kuhusu mama mzazi itakuwa kesi.
Wanawake wengi hawapendi mama mkwe, hiyo ni nguo tu, siku ukimnunulia mama yako gari itakuwaje ?
Anyways, tumewakuza kwa shida sana, msitusahau.
Kabisa my WiiWanawake wachoyo na wenye roho mbaya mnawatoaga wapi? FUKUZA MBWA HIYO
🤣🤣🤣Hao wanawake njaa njaa ipo siku watakuua warithi sabufa lako.. FUKUZA 😹
Kuna wanawake wana roho mbaya za ajabu, sasa mama wa mumeo si ndio wa kumfurahia kwa kuzalia mwanaume wa moyo wako..Kabisa my Wii
Mm kma ni mbaya ningempa yangu kabisa au ningemrudisha dukani tukachague nyingine kwaajili yake
Km anauwezo amjengee hata nyumba ni mamayake angemuua mm angenijua huyo mume angemuacha awe chokoraa ningempenda kweli
Kwa nn kuishi kinafiki namna hii?Ulishindwa kutumia njia yeyote mke wako asijue
Kiongozi mke inabidi ajue nafasi yake, yaani kitendo tu cha kumuwazia mabaya mzazi wako ni kosa la jinai, achilia mbali kutamka tena mbele yako.Habar wakuu huyu mke nimfanyaje nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama.
Baada ya nguo aliyotaka nyingine kumwambia aachane naye yakamtoka maneno mengi hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa.
Nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao
Mimi na ndugu zangu ni damu damu, ikiwa mke wangu huwapendi ndugu zangu yaani mama, na wadogo zangu jiandae kuishi bila mimi.Yupo kijana wangu ananipenda sana, naamini siku mke amfanyie ulichofanyiwa kuhusu mama mzazi itakuwa kesi.
Wanawake wengi hawapendi mama mkwe, hiyo ni nguo tu, siku ukimnunulia mama yako gari itakuwaje ?
Anyways, tumewakuza kwa shida sana, msitusahau.
Ni hao wake zenu sio wanawake wote tuko hivyo acheni kujumuisha, mlipata magaidi tulieni nayo lakini sio kutupondea na wengine wenye roho za kimalaikaUtamnunuliaje mama yako nguo mbele ya mke wako?wanawake huwa hawapendani hata iweje.Ungelitoka na Mama yako kwend adukani kumnununulia nguo pasipo na mke wako kujuw alakini wewe inaonyesha umekwend anao wote wawili kuwanunulia nguo pamoja au umnunulia nguo Mama yako wakati mke wako anaiona hataweza kufurahi hata siku moja.Wanawake huwa wan wibu w akijinga sana jifunze kutokana na makosa uliyoyafanya usirudie tena .
Tena sio kurrudisha tuu kwao na matege na magumu ya kumsindikiza.Habar wakuu huyu mke nimfanyaje nimetoka kumnunulia nguo mama yangu mzazi kama zawad na mke nae nilimnulia..Sasa chaa ajabu ametokwa na maneno ya dharau nakejeli juu ya zawad niliomnunulia mama.
Baada ya nguo aliyotaka nyingine kumwambia aachane naye yakamtoka maneno mengi hali yakuwa yeye kashatumia mamilioni yangu mengi ktk mavazi na mama hii ninadra sana kumpa.
Nawaza naona hanifai kabisa kama pesa yangu mwenyewe kumnunulia mama yangu mzazi kwake mke kwake nongwa naona hanifai kabisa nimepanga kurudisha kwao