Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko,kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini,nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi,basi me nikajua ni utani tu,nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza,so baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani,akaniambia yoyote tu..me nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe,ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Anaenda kumpa house girl wake
 
Mwenye mke joined the chat.🤣🤣🤣🤣
Kuna watu wanapenda kujitoa muhanga hivi hivi
 
2023 huimalizi bila kilema au kupakwa mafuta.
Sala hii na ikawe kweli kwa mhusika
Screenshot_20221225-134209.jpg
 
Labda Kama mumewe mmakonde au mchaga, lakini Kama Ni MTU wa Yanga, watu watakula ubwabwa 2023.
 
...mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini

Kituo kinachofuata ni Manzese, hapa tupo BRT express la Kivukoni....
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Andaa mafuta kbs uwe unatembea nayo
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Ulitarajia asemeje baada ya kumpa chupi, kwanini unashangaa, wakati wewe ndiye uliyepeleka chupi, au ulitaka akutukame.
 
Back
Top Bottom