Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

Nimempa mke wa mtu zawadi ya chupi ameonesha kuikubali na kuifurahia sana

Naona unajizima data makusudi...ila najua ushamtia huyo demu tayari,from no where tu umpe mtu zawadi ya chupi?
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Mwambie unataka kuona zawadi zako zilivyompendeza.
 
Unaanzaje kumpa chupi mke wa mtu?
Ukifikia hatua hiyo Basi unamtaka siyo bure.
 
Hilo jiiicho hilo kwajina sitalitaja ukiona linakutuma kuonga wake za watu chupi ujue linakuwasha linataka kukunwa
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Unatakiwa umwambie unataka kuziona kama zinamtosha...
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
mle
 
kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ni mpangaji mwenzio au sio?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huo wadhfa alionao huko serikalini na bado anapanga nyumba ya kuwa karibu karibu hivyo na majirani kama nyie ana haki ya kulizwa. Sema kazana siku hizi hawaendi tena kwa waganga😂 mnamalizana
 
Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.

So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.

Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Nakuona umewaka tamaa kwa mke wa mtu.Hiyo ni dhambi ikimbie...UTAPAKWA MAFUTA
 
Back
Top Bottom