Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,841
Mwanzo mzuri sasa hapo bado kukuonesha jinsi alivyopendeza na hizo chupi moja baada nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezipenda eeh!? Atakuletea zingineKwanini uliamua chupi? Halafu unakuja humu eti unashangaa.. unajidai hujui sababu..
Mwambie unataka kuona zawadi zako zilivyompendeza.Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.
So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Kama wana muda mfupi toka wahamie, hapo unasemajePunguza chai mkuu. Hakuna mke wa mtu mwenye wadhifa mkubwa serikalini anaishi nyumba ya kupanga.
Huo wadhifa labda sio mkubwa.
Unatakiwa umwambie unataka kuziona kama zinamtosha...Juzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.
So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
mleJuzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.
So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?
Hii ndio imeharibu ladha ya chai.Yaani Tanzania hii mtu mkubwa Serikalini awe "mpangaji"mwenzako.?kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ni mpangaji mwenzio au sio?
Hii itakuwa TarimeSala hii na ikawe kweli kwa mhusika
View attachment 2461176
Nakuona umewaka tamaa kwa mke wa mtu.Hiyo ni dhambi ikimbie...UTAPAKWA MAFUTAJuzi kati nilikua nasafiri kwenda upcountry huko, kuna mpangaji mwenzangu mumewe ni mtu ana wadhfa mkubwa tu serikalini, nilivyomuaga akaniambia nimletee zawadi, basi me nikajua ni utani tu, nikaenda safari nikarudi bila zawadi akanilaumu kwa nini sijamletea zawadi aliyoniagiza.
So baada ya kuona kero zimekua nyingi nikamuuliza unataka zawadi gani, akaniambia yoyote tu, mimi nikasema ngoja ninunue dozen ya chupi za kike nimpe, ebana nilivyomkabidhi manzi kapenda mno zawadi zangu akaniambia she appreciate sana zawadi zangu za chupi nilizompa.
Nimebaki dilemma kwamba kwani huyu hajawahi kupewa zawdi ya chupi hadi anisifie namna hiyo jamani?