Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Halafu eti zinaingia hata kama umelalaMaana 50K kila siku ni 1.5M siku 30.... Noma sana asee .... Tusije kukuona tu na wale jamaa wa kudili na madawa ya kulevya tukakupoteza Gerezaniooo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu eti zinaingia hata kama umelalaMaana 50K kila siku ni 1.5M siku 30.... Noma sana asee .... Tusije kukuona tu na wale jamaa wa kudili na madawa ya kulevya tukakupoteza Gerezaniooo.....
Wasikufanye "punda" bina....Halafu eti zinaingia hata kama umelala
Naona baadhi mnamponda mtoa mada, au mnaeza hisi hii ni chai, ila alichoandika mtoa mada kinaendana na ukweli kabisa, mtaani kuna wanawake wa ajabu sana, kuna mdada aliniomba hela siku mbili baada ya mshahara wake kutoka, imagine mshahara wangu na wake ni sawa, na before mm sikua bahili kwake, nlikuwa namtoa akikwama.Chai haijakolea viungo
So alikuwa ni msebule sio mchumba....Naona baadhi mnamponda mtoa mada, au mnaeza hisi hii ni chai, ila alichoandika mtoa mada kinaendana na ukweli kabisa, mtaani kuna wanawake wa ajabu sana, kuna mdada aliniomba hela siku mbili baada ya mshahara wake kutoka, imagine mshahara wangu na wake ni sawa, na before mm sikua bahili kwake, nlikuwa namtoa akikwama.
That day aliniomba ndo nlijua kweli hapa sina mchumba Carleen Joline
Kashakufanya ww ni ATM 🏧 machinesNaona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
kama anajua ku.tho.mbana hamna shida mbnNaona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka
Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
hii bila kazi au?Huo mchongo wa 50k kila siku kama vipi niconnektie na mimi
Kama unaona tabu. Nipee namba yake niwenamtumuaa mahitaji ambayo wewe hupendi kumpaNaona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka
Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
Tunajua watu wa hivyo wapo. Poleni wanaume ndio maisha.Naona baadhi mnamponda mtoa mada, au mnaeza hisi hii ni chai, ila alichoandika mtoa mada kinaendana na ukweli kabisa, mtaani kuna wanawake wa ajabu sana, kuna mdada aliniomba hela siku mbili baada ya mshahara wake kutoka, imagine mshahara wangu na wake ni sawa, na before mm sikua bahili kwake, nlikuwa namtoa akikwama.
That day aliniomba ndo nlijua kweli hapa sina mchumba Carleen Joline
Kasema anaingiza hata akiwa kalalahii bila kazi au?
anhaa apo sawa kumbe utamruhusu aingizeKasema anaingiza hata akiwa kalala
Hahaha hapana ni kuingiza hela 😆anhaa apo sawa kumbe utamruhusu aingize
Ni mchongo gani huo mkuu utupe na sisi connectionNaona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka
Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
mh kwa akili hizi hakuna kitu hapo....... zaidi linatafutwa jitu lipigwe kitu kizito.......Naona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka
Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
HahahaNaona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka
Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
Unamiliki songesha bro na sio mwanamke