Nimempenda mtoto wa watu huku

Usiweke moyo wako ulivyo peupe ..
Wewe ni mtu mkubwa sana ujue.
Mi mzima mkuu
πŸ˜‚ πŸ˜‚ mimi ni mtanzania mnyonge To yeye niko hapa kuwakumbusha upinzani zoezi la kuboresha daftari linazidi kuchanja mbuga wasilaze masikio
 
Aisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY
Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi
Mimi nimemjua Jana tu
Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni.
Napenda kufurahi Mimi
Kenzy nitakucheki saa tano usiku pm

Naskia ameoa hko mafinga na ana watoto wawili
 
Tatizo id
 
Sa mbona unatongoza kama enzi za wakoloni bro..... Si umpe za hivi tu 😊πŸ₯°β€οΈβ€πŸ”₯πŸ«¦πŸ˜‹πŸ‘©β€β€οΈβ€πŸ’‹β€πŸ‘©πŸ†
Apo kwenye tango atashtuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…