Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kwa ufupi sana.

Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia utapeli na wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Mkuu unamuibia mkeo halafu unajiona mwanaume?
 
Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia ujaujanja wa wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Life halijachapa bakora mpaka ukaona dunia yote umebeba wewe na shida zake zote
 
Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia ujaujanja wa wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Kwa hio afya yake anaumwa na ana milion 7 imekaa imetulia anakuangalia unateseka we nae utakuwa demu unatetea wenzio

Hawa mabinti ni wajinga sana nakumbuka kipindi nipo chuo nilipata binti mwngne chuo cha karbu tukaanza ishi wote japo sio rasmi nikimaanisha ana sehemu anayokaa

Nimekaa nae miezi mitatu bila makubaliano yoyote anakula kila kitu kwangu

Siku moja sina hela nawaza inakuaje sasa ale ..yeye katulia kimyaa kumbe ana pesa elf 20 alitumiwa na dada ake et anaipangia bajet hivi kweli miezi mitatu angekuwa kwake kala sh ngap? Nauli ya kwenda chuo na kurudi sh ngap? Bado ananipa hela nimrudishie nikaona hakuna mwanamke hapa ana roho kubwa sana yule
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Mkeo ana roho ngumu. Yaani matibabu yake mwenyewe anashindwa kugharamikia na ana 7m inakaa tu benki miezi? Si mchezo.

Ishi nae kimachale sana mkuu huyo, inawezekana ameshakupiga sana matukio zaidi ya hayo hukushtukia tu.
 
Siku moja sina hela nawaza inakuaje sasa ale ..yeye katulia kimyaa kumbe ana pesa elf 20 alitumiwa na dada ake et anaipangia bajet hivi kweli miezi mitatu angekuwa kwake kala sh ngap? Nauli ya kwenda chuo na kurudi sh ngap? Bado ananipa hela nimrudishie nikaona hakuna mwanamke hapa ana roho kubwa sana yule
Haaa haaa umenikumbusha jamaa yangu aliachana na mchepuko kijinga sana. Ameutumia nauli, akaulisha bata la kufa mtu na shoping. Asubuhi yake jamaa anahitaji internet akaomba hotspot ukajikausha, akaomba tena ukachomoa bando halitoshi. Kuna kuvizia simu akakuta kuna zaidi ya GB. Akautimua
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Akikwambia mahali alipozipata hizo pesa utafurahi? Halafu mwanaume kudhulumu pesa ya mkeo sio uungwana wala ujanja, sio jambo la kujivunia.
 
Kwa hio afya yake anaumwa na ana milion 7 imekaa imetulia anakuangalia unateseka we nae utakuwa demu unatetea wenzio

Hawa mabinti ni wajinga sana nakumbuka kipindi nipo chuo nilipata binti mwngne chuo cha karbu tukaanza ishi wote japo sio rasmi nikimaanisha ana sehemu anayokaa

Nimekaa nae miezi mitatu bila makubaliano yoyote anakula kila kitu kwangu

Siku moja sina hela nawaza inakuaje sasa ale ..yeye katulia kimyaa kumbe ana pesa elf 20 alitumiwa na dada ake et anaipangia bajet hivi kweli miezi mitatu angekuwa kwake kala sh ngap? Nauli ya kwenda chuo na kurudi sh ngap? Bado ananipa hela nimrudishie nikaona hakuna mwanamke hapa ana roho kubwa sana yule
Siwezi kutumia njia za wizi ndani ya familia yangu, kama baba wa famalia kama kisinginzio cha kuajibika, wajibu wangu na ujua ni kizidiwa nta omba msaada kwa mke au ndgu wakikata sita chukia ila naamini "Maisha yana wezekana bila wizi udanganyifu na utapeli"
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Mkeo ni mchawi
 
haaa haaa umenikumbusha jamaa yangu aliachana na mchepuka kijinga sana. Ameutumia nauli,akaulisha bata la kufa mtu na shoping. Asubuhi yake jamaa anahitaji internet akauomba hotspot ukajikausha,akaomba tena ukachomoa bando halitoshi. Kuna kuvizia simu akakuta kuna zaidi ya GB. Akautimua
Ni ujinga serious,, kuna shetani mmoja na yeye tuligombana kisa kaki tu...nimetumia pesa nyingi sana kwake siku ana elf tano niliichukua nikamwambia nampa ila nikawa akinikumbusha namwambia nitampa at the same time narudi na kitu as gift yake tu cha zaidi ya hio hela .. vocha yake ni mm naweka bado anathubutu nipa kauli za ajabu kisa elf tano niliitupilia mbali
 
Back
Top Bottom