Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Ni ujinga serious,, kuna shetani mmoja na yeye tuligombana kisa kaki tu...nimetumia pesa nyingi sana kwake siku ana elf tano niliichukua nikamwambia nampa ila nikawa akinikumbusha namwambia nitampa at the same time narudi na kitu as gift yake tu cha zaidi ya hio hela .. vocha yake ni mm naweka bado anathubutu nipa kauli za ajabu kisa elf tano niliitupilia mbali
Kwanini uchukue 5k ya mwanamke na hutaki kuirudisha, nitampa je zawadi wakati bado anakudai pesa yake 5k,....Wanaumme jifuzeni jinsi ya kuishi na wanawake ni kama watoto katika masuala ya pesa na hisia emotions, kwanini umuahidi kumlejeshea pesa yake af unabadilisha gia angani.
 
Mkeo ana roho ngumu. Yaani matibabu yake mwenyewe anashindwa kugharamikia na ana 7m inakaa tu benki miezi? Si mchezo.
Ishi nae kimachale sana mkuu huyo,inawezekana ameshakupiga sana matukio zaidi ya hayo hukushtukia tu.
Mkuu umepotea sana, tangu ile chalenji ya kurudisha shukrani hujaonekana tena
 
Na kibaya zaidi hata haujui hiyo mil 7 aliipataje...
Kwani ela za mwanaume za kumtibia anajua mwanaume amezitolea wap? Kazi ya pesa ni matumizi wala sio swala la kujua ni ya nani au imetokea wap?

Kwamba unataka kutetea alito-mbwa nje ndo akapewa hiyo m7? Kama ni hivyo huyo ni mke au malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia utapeli na wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Umeoa?? Tuanzie hapa
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Kuna baadhi ya wanaume akigundua una pesa kidogo hajishughulishi na kitu chochote humo ndani. Ndiyo maana huwa tunapiga kimya unakuwa unasaidia pale inapobidi
 
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Unamuibia mke wako!!???
You are such a looser! a serious looser I say
 
Akikwambia mahali alipozipata hizo pesa utafurahi?
Halafu mwanaume kudhulumu pesa ya mkeo sio uungwana wala ujanja, sio jambo la kujivunia.
Dah, very disappointing sana. Mwanaume anaiba Hela ndani ya familia halafu anajiona mjanja kwa ku-justify na other issues, ni changamoto sana. Hana tofauti na mwanaume aliyenunuliwa kiwanja na mchepuko wa mkewe alafu anafurahia utadhani jambo jema sana.
 
Dah, very disappointing sana. Mwanaume anaiba Hela ndani ya familia halafu anajiona mjanja kwa ku-justify na other issues, ni changamoto sana. Hana tofauti na mwanaume aliyenunuliwa kiwanja na mchepuko wa mkewe alafu anafurahia utadhani jambo jema sana.
Ni ujinga mkuu baba familia unakua jizi af anafanya justification zisio kua na mantiki, sijui tunaelekea wapi kwa kweli
 
Back
Top Bottom