OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Sema Nini umetisha Ila siku INGINE mwambie mbona umeficha pesa na unaona tuna changamoto moja mbili Tatu ..kwanini usitoe tu solve mambo yakae sawa ..au mke wako ndio wale wa privacy Sana Yani ukimuliza ata mind. Ila wanawake bana. Akili zao wanazijua wenyewe banaa ..Mimi ndio maana napiga nasepa ..Kama watoto nabeba nalea mwenyewe kwani Shi ngapi..??!