Mke nadhani ndiye msaidizi namba moja wa mume wake,suala la eti una mke,umezidiwa majukumu,unamuomba msaada anakukatalia,kisa pesa ni ya kwake,huyo ni wanini sasa ndani kwangu?
Yaani niende nikadharaulike huko mtaani,nayeye anao uwezo wa kunisaidia halafu anakataa,hapana kwakweli,tena hawa wanawake ambao wakimpenda bodaboda au dereva bajaji,safari ya buku 8,dereva anapewa elfu 20?Hapana kwakweli,ndiyomaana hata wadada ambao ni waajiriwa,mi huwa naona wanaowashobokea kuwaoa,eti wanaweza kusaidiana kwenye majukumu,huwa nawashangaa,ni bora uoe mama wa nyumbani tu,alee watoto ipasavyo,na ujue mimi ndiyo kila kitu.