Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Unachokora nini kwenye simu ya mpenzi wako ,ndio wewe unasubiri mpz wako kalala unachokora nyapu yake kuangalia ndani kama kafanya au hakufanya unatka ushahidi kamili ,Utafeliii wewe shauri yako .
 
Kwa kifupi wewe ni BOYA na huna akili
 
sasa we unampiga wakati mwenzio anatafta hela kwa jamaa wa benki ili muishi
 
Mkuu jitahidi kuandika kamamtu alienda shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…