Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Kama hukumchapa ulimfanyaje mkuu?

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Wakati nakuwa wazaz. Wangu walikuwa wababe San bas nikiwazingua tu ukikatwa jicho aise moja kwa moja unajuwa mzee kamaind hvyo niache upuuzi wowte hapo na mgeni akiondoka nitapigwa tu hat Kama. Ni kosa dogo eti nimelia au kula chakula mbele ya wageni aise nitapigwa
 
MAKOSA 30 AMBAYO WATOTO WA ZAMANI WALIKUWA WAKILA BAKORA!!
WATOTO WA ZAMANI TULIISHI MAJUMBANI KAMA TUKO MAFUNZO YA JESHI!! UKIKUA NI FULL ADABU KUHESHIMU WATU, UTU, BUSARA NA KUJITETEGEMEA UKIWA NA UMRI MDOGO TU
1: Usiposalimia wakubwa asubuhi unapigwa
2: Usiposalimia wageni unapigwa
3: Ukinawa kabla ya wageni unapigwa
4: Ukilia bila sababu unapigwa
5: Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka unapigwa
6: Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni unapigwa
7: Ukikaa wakubwa wamesimama unapigwa
8: Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi unapigwa
9: Ukichelewa kurudi toka shuleni unapigwa
10. Ukiwahi kurudi shuleni unapigwa
11: Ukililia wageni wakati wanaondoka , wakitoka unapigwa
12: Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula unapigwa
13: Kujibu ovyo wakubwa unapigwa
14: Kutukana watu wazima, watoto au rika lako unapigwa
15: Ukiwa mbishi bila sababu unapigwa
16: Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze
17: Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie
18: Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa
19: Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa unapigwa
20: Ukila kwa jirani ukabainika unapigwa
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani unapigwa
22: Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa unapigwa
23. Ukikutana na mtu mzima ana mzigo hujampokea unapigwa
24. Ukienda kusema kama umepigwa unapigwa.
25. Mtu mzima akipita kama mnacheza hamjamshughulikia unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani unapigwa
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani unapigwa
28. Ukianza kuchagua chakula hiki nakula hiki sili unapigwa
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao unapigwa
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata kama sio cha ukweli unapigwa.
YAANI YALE MAISHA! Acha kabisa.
...... Wahenga, hapo vipi???......[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana ila nasikitika kukujulisha kuwa mtoto ulimuonea hakustahili kupigwa.

Hapa ulitakiwa utandike mama mtoto makofi ya maana sana; halafu wakati huo unamwambia aongoze njia kurudi nyumbani kwake akamlete na baba yake mtoto kama kuna uwezekano. Pole sana
 
Safi kabisa ww ni km wajomba zangu yaan ulikua ukifanya ujinga kichapo utakacho pata hata kwenda kusimlia home huwezi ..sasa hivi watoto wanalelewa km mayai ....
 
Tupe na sisi mbinu mkuu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app

Mkuu, watoto wanawasoma sana watu wazima. Kuanzia umri wa mwaka mmoja mpaka miaka mitano ni muda wa kujenga misingi na mipaka kwa watoto. Ukichelewa kwamba bado ni mdogo eti utamnyoosha akianza kuelewa, huwezi kufanikiwa.

Sasa wangu wa kufikia, naye niliona kwa kuwa ndo anaingia kwenye maisha yangu, ilibidi nimchoree mistari mingi.

Misimamo mikali sana, kuna wakati alitaka kutunisha misuli hapo ndo nilitumia nguvu kidogo. Nilikuwa nikimshika mikono nambana kama spana, kadiri anavyopambana ndivyo navyokaza. Matokeo yake akaja kugundua hana jeuri.

Pili nikiwa nikikngea naye namlazimisha akae sakafuni kabisa na ananyoosha miguu. Kama vile yuko jela, kisaikolojia nilikua namtoa kwenye reli aliyoizoea kwamba yeye ndo wa kuamua. Kwamba maamuzi ni yeye. Nikawa namfundisha kwamba kichwa ni mimi tu!

So hakuna njia moja bali kikubwa ni saikolojia, ila muhimu zaidi ukishaamua jambo libakie kuwa lilivyo. Consistency kwa watoto ni muhimu sana. Ukiwa unabadilisha msimamo kisa mtoto amelilia kitu, basi ujue umeshafli.
 
Kuna tuko sitakaa nilisahau nikiwa shule ya msingi miaka hiyoo

Nilimsonya mwalimu nikapelekwa ofisin nikala bakora za kutosha taarifa zikafika home mama kaambiwa nikalabakora mzee kaja usiku kaambiwa nikalabakora kesho yake kuna aunt yangu mtata kinoma alikuwa akija naona kifo kifo bana alivyokuja kahadisiwa kanishushia kipigo dahh maisha ya kipindi kile ni kijesh jeshi
 
Hongera kwa kutunukiwa vizuri mkuu [emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulijua kakiamka bado nipo hapa itakuwa balaa
 
Malezi mabaya eti wanalilia nyama kaahh!ujinga mtupu,malezi ya hovyo hovyo sio mazuri kabisa ndo maana siku hizi watoto hawatembei na hawajui ndugu zaidi ya wazazi wao tu maana wanalelewa hovyo hovyo hakuna anaeweza kuwalea zaidi ya baba na mama zao

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…