Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Pole sana mkuu. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatumi ng'o, utaona.Mkuu pole sana sana , japo mkurugenzi wa Jf kachelewa kukutumia pole ninajua atatuma soon
Pole sana mkuu, Mungu awape faraja.Wakuu napenda kuwapa taarifa kwamba nimempoteza Mzee Wangu Leo Hapo KCMC Moshi.
Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini.
Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro.
Asante sana Wakuu Wangu
Pole sana Mkuu. Mungu amuweke pema Baba yetuWakuu napenda kuwapa taarifa kwamba nimempoteza Mzee Wangu Leo Hapo KCMC Moshi.
Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini.
Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro.
Asante sana Wakuu Wangu
Bibi Tumuombee mungu jamaa maana yuko katika hali ya majonzi na yenye mawazo mengi sanaI'm here you're kokoo, sasa tufanyeje mjukuu wangu, tu put his number and contribute au tufanye nini
Pole sana ndugu, Mungu ampokee mzee na aipe familia mioyo imara, yenye mshikamano na yenye uvumilivuWakuu napenda kuwapa taarifa kwamba nimempoteza Mzee Wangu Leo Hapo KCMC Moshi.
Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini.
Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro.
Asante sana Wakuu Wangu
Hilo baridi la hapo lazima uvizie hao wambulu wa bar za hapo[emoji16]Pole sana msiba upo marangu sehemu gani maana nipo hapa darajani near malangu teachers College
Pole sana mkuu,mimi niko huko na msiba wa baba wa rafiki yangu hapo kotelaKaribu Marangu mtoni, Kwa Rau, Tunamsubilia Kaka Yetu Yuko USA, Tunatarajia kuzika Juma5