Nimemsamehe alivyonisaliti ila bado naumia nikikumbuka

Hebu waza alivyokuwa anaukatikia, fikiria alinyonywa mate akalegea, akavuliwa kyupi, mchizi AKAMNAWA, akafungua zipu ya mchizi akalitoa ndonga, akalinyonya, akachanua miguu akapachikwa UKUNI, akaulilia freeesh kabisa, na kuna muda ilichomoka, yeye ndio akaushika MPINI na kuurudishia ili aendelee kubirudika 🤣😂
 
Hakupendi ndiyo maana kakusaliti, sisi wanawake mpaka tuamue kusaliti jua mapenzi kwako yashaisha.

Halafu nikuambie, ni lazima atasaliti tena na mpaka umemfuma jua keshakusaliti saaana.
Sio kweli, siku hizi mbona wanawake mmekua cheap sana,
Mimi sijasema umuache…nimeelezea ninachokijua yaani unatujua wanawake kwa siri? Umemkamata jua ushapigiwa saaana ila vumilia tu ndiyo ukubwa
Hebu funguka kidogo utupe mbinu mnazotumia mnapo cheat msigundulike
 
Mwanamke mpaka anakusaliti inakua ishasukwa mipango, ashakudanganya sana na mbaya zaidi anakua na mahusiano na huyo aliekusaliti nae....

Wao sio kama wanaume kwamba anaweza kununua malaya mtaani akawa tayari kakusaliti, wanawake wengi usaliti ni process mpaka anakuja vuliwa pichu...
 
Hakupendi ndiyo maana kakusaliti, sisi wanawake mpaka tuamue kusaliti jua mapenzi kwako yashaisha.

Halafu nikuambie, ni lazima atasaliti tena na mpaka umemfuma jua keshakusaliti saaana.
Bora umemwambia ukweli tu
 
Shida nayoiona sio kusamehe tu bali mwamba kupata demu mwengine imekuwa kipengele 🤣
 
Sasa inamaana nimuache sasaiv?? But nlishamsamehe tukaendlea na mahusiano almost 3months sasa,
Ulishafeli, the next move baada ya the so called msamaha ulitakiwa uwe umeshatafuta demu mwengine mpya na kumtupa uliyenaye kimya kimya bila yeye kujielewa. Mwanamke msaliti asamehewi huwa anaachwa kwa style yeyote ile jumla au rejareja tu na yeye unamgeuza mchepuko wako.

Huyo mpaka umemkamata maana yake ni alijisahau sana but kitu cha uhakika ni kwamba hawataachana na huyo jamaa yake ila atazidisha umakini tu ili kusudi usijue kama anatombwa.
 
Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.

Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?

Endelea kulia lia wakati wachuchu wapo bwerereeee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…