Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Mkuu huyo ni mke wa mtu tambua....hiyo subiri subiri itakufanya uliwe kiboga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama kuna uwezekano wa kumkaza dadake, ndugu yake yoyote we mkaze tu.

maana alijikuta mjanja kuuma na kupuliza sasa ww ni kuuma mpaka aombe pooooh

usiishie wakaza bure wape na mimba ili akijua ajiue ama akuue ama mtiane vilema kama si kufikishab jera.

ila naunga mkono tukio lako na nakuomba uende mbele zaidi
 
Hahaha,,,,KWANINI UMUACHIE MUNGU? aisee jamaa kaamua kumaliza vita yake mwenyewe
 
heee! sio mchezo😤😤
 
chunga marinda yako
Ktk maisha yako yote ya hapa dunia usije ukamfanyia mgoni wako utakuja kufungwa kifungo cha miaka 30 au maisha na mkeo atabaki uraiana na atagongwa na atazalishwa. Km ukimfuma jamaa mpige ngumi za kumuadhibu au uwasamehe.
Narudia tena. Usije ukamlawiti mgoni wako hiyo ni kama kesi ya ubakaji kwahiyo adhabu yake ni miaka 30 au kifungo cha maisha
 
Hahaa WW3,..coming soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mtu gani " unalipa kisasi huku una huruma huruma ... kama jamaa yako huyo bado hajajua kwamba umemtafuna mkewe ..basi hapo bado haujalipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi mnaeendelea kulana au ndo mwishoooo
 
Wewe mtu gani " unalipa kisasi huku una huruma huruma ... kama jamaa yako huyo bado hajajua kwamba umemtafuna mkewe ..basi hapo bado haujalipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kumbuka kuna cyber crime kwahiyo atafute namna ya kumuonesha kuwa amemega kuliko kumtumia picha za utupu wa mke wa jamaa.Amtumie picha ya wapo pamoja bichi au chumbani wamevaa nguo au amembusu shavuni. Hii ndiyo dawa ya kumegewa. wale wa kumlawiti mgoni wako utaishia jera
 
Huwa nashindwa kielewa watu kuhusisha mada Fulani na Chai .Mfano MTU mwelewa kutokana na matukio no Kweli. pia MTU kuwa na post nyingii hajustify eti sio mkweli.
Pia humu watu wana ID nyingi wengine kwa maana walipewa Ban waweze kuwepo au sababu zifananazo na hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawasawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila bado hujalipiza kisas maana kama n kulipiza na yy inabid ajue umemla mkewe otherwise ukubal hujalipa kisas afu inabid utunze kumbukumbu kama mapcha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…