Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

Kwahiyo Taifa tuanze kufuata sheria za dini fulani tuache kufuata sheria za kitaifa

Wakati mwingine wakaage kimya kuliko kujidharaulisha kama hivi

taifa letu halina dini

Hoja ya Sheikh Ponda ni kuwa, hiyo sheria ya kitaifa inatokana na muongoza wa Dini fulani. Je unabisha hilo?
 

Mkuu uliwahi kulazimishwa kuwa mtoto wako aolewe akiwa na 14?
 
Ni tatizo kubwa sana kuwa na kiongozi wa dini anayedhani ndoa ni kuti.ana tu. Psychological maturity ambacho ndicho muhimu sana katika ndoa huanza kukomaa mtu anapofikisha miaka 18.
 

Mkuu kama wewe ni muislamu upo kwenye hasara
 
Mkuu uko sawa kweli? Kwahiyo Kila wanachofanya wazungu unataka na sie huku tuige sio? Hayo hayo majimbo unayoyasema yanaunga mkono ushoga kwahiyo unakubaliana nao?

kwani nyinyi mnaiga nani? hiyo dhana ya kuwa mtumzima ni kuanzia 18 years unafikiri imeletwa na nani kama sio wazungu?
 
Wanaume wa kiislamu wanatakiwa kupinga ndoa za utotoni

Muislamu hatakiwi kuishi kwa mawazo yake, Bali kwa taratibu alizopangiwa katika dini yake. Sio watu wote na mapagani kama nyinyi.
 
Kwanini unalazmisha kuitaja Saudi Arabia katika jambo linalohusu uislamu na Qur'an?

Ama saudi Arabia ni mtume katika uislam?.

Sioni mantiki yoyote ya wewe kuirejea Saudi Arabia katika jambo lolote linalohusu uislamu na Qur'an.
Acha ujinga wewe ngumbaru. Hao ndo walowaletea uislamu nyie makenge. They are more muslims than you stupid monkeys
 
Kwani UN inasemaje Kuhusu umri wa mtoto unaishia miaka mingapi?
Watu wasitumie dini. Sheikh asituzingue. Hiyo haki anayopigania kila siku ndio hii?
Katiba inasema miaka 18 mtu tu aje na miaka yake kwa manufaa binafsi. Asituzingue

kwahuyo UN kwako ndio wakuwamini kuliko Dini unayifuata?
 
Pamoja na kufunga tena mtu mzima na akili zake anakuja na upumbavu kama huu🤔🤔, wanawe wangapi wameolewa wakiwa na miaka 14, tamaa zao za mwili wao watu wachache zisiwanyime watoto haki zao za msingi
 
Wagalatia kwanini munateseka na Uislmau? Kwani mumelazimishwa nyinyi kuoza mabintu wenu wakiwa na 15? Waachane wanaotaka wafanye, na acheni kuteseka na Imani za watu.
 
Na kumbuka hakuna sehemu kwenye biblia Yesu anasema YEYE SI MUNGU.
wanaosema si Mungu uishia kujenga hoja tu si kutoa ushahidi kwenye biblia.

By the way ponda ana hoja.. Ponda karejeaa mafundisho dini yake kuhusu ndoa ila watu wanarejea sheria ya Saudi arabia kuhusu ndoa ili kuzima hoja ya Ponda.

Saudi Arabia na uislamu ni vitu viwili tofauti, wanao lazimisha kuwa ni kitu kimoja either ni wajinga ama wanaitumia Saudi Arabia kukwepa hoja ya msingi ya ponda.
 
Muislamu hatakiwi kuishi kwa mawazo yake, Bali kwa taratibu alizopangiwa katika dini yake. Sio watu wote na mapagani kama nyinyi.

Haya endeleeni kuozesha watoto wenu wa miaka 14
Ila madhila yanayowapata wengine wanajuta kuzaliwa na wengine wanakimbia ndoa na kuishia kusitirika kwa hao mnaowaita mapagani. Sasa sijui hekima ya Mungu ndani yenu ilienda wapi
 
Mohamad alimuoa aisha akiwa na miaka 6 na akalala naye akiwa na miaka 9.

Ni mambo ya aibu, ila Huo ndio ukweli wa vitabu vyenu mlivyoandika wenyewe.

Usipingane na ukweli mliouandika wenyewe.
 
kwani nyinyi mnaiga nani? hiyo dhana ya kuwa mtumzima ni kuanzia 18 years unafikiri imeletwa na nani kama sio wazungu?
Na kwa hili wazungu wapo sahihi. Hata waarabu wa Saudi Arabia wamewafuata wazungu...mmebaki nyie waarabu wa ikwiriri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…