Nimemtimua Nabii aliyekuja kumtembelea Mke wangu

Ulikosea mkuu.Ungewaacha wakuombee hata maji ya kunywa.
 
Shwaini
me nilifurumusha wanatembea na msalaba kwangu.

Na niliwaeleza kwangu kuleta miti ya mifano hapana kabisa .

Na nikamkanya wife mbele yao ili kileta hali ya uhalisia .

Binafsi sijawahi kuwapenda roman churches na mambo ya unabii.

Ni vitu vya kupigwa sana.
 
Mkuu nakupa hongera Sana ,Hawa manabii na walokole ni wanatiki Sana, , wakija tena piga viboko
 
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣 Umekata mazoea.
 
Kurusu tu waingie ndani wameshaweka mambo yao, utaona vile maugombi ya nyumbani yatakuwa hayaishi,.maaradhi na matatizo mfululizo
 
Unaona sifa mwenyew, yaani unajiona mwamba, hahahah ipo utawatafuta hao wakat huo utazitamani hizo kelele na mapambio yao, kwani ungewacha wakafanya ibada wakaondoka ungepungukiwa nini?
 
Kwa kweli kunahitajika busara katika kuyaendea
Mambo haya
 
Usingewafukuza bali ungeondoka zako then mikwara ungempiga mkeo ukirudi, hapo ni umejifedhehesha wewe mwenyewe wanamume hatupo hivyo.
Duh wewe ndio mmojawao mnaojifedhehesha kwa Hawa msnsbii wa UONGO yaani uiache nyumba mkeo na wezi, wakimbadili? huyo mwamposa mpaka leo hajaoa
TAFADHALI FUKUZA WOTE NDIO UANAUME na mke skiendelea FUKUZA, hawana faida yoyote na hawajui lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…