Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Dah, umaskini mbaya sanaMimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Hapo umepata "MBUTE" badala ya kitu kutoka "KFC" !Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Kulingana na Malezi, Mazingira aliyolelewa ama Familia anayotoka, haya yanaweza kuwa visababishi vya yeye kubadilika:-Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Kuoa kwao wao si hoja,wangapi wanawake waliacha ndoa zao toka kwa Wafalme na wala hawakujutia. Mali au hela si kila kitu,wanawake wanatafuta furaha,na hawapendi manyanyaso.Ile top ten ya matajiri wa dunia IMEGUNDUA VITU AMBAVYO HUFANYA DUNIA ITEMBEE ila HAWAJAOA, hapa nazungumzia Bill Gate, Benzos na wengine
Naona kijana huna hoja,mapenzi au ndoa haidumishwi na Mali,bali ni utu,kujali,matunzo na utimamu wa akili.Eicher ndio sasa hivi basi mashuhuri kwa usafiri TZ na hasa Dar, mwenye Eicher kampani HAJAO.
Kijana naona unaishi mule mule,hoja huna nani alikwambia ndoa inasimamishwa na utajiri ?Dangote ndio mbabe wa Africa HAJAOA.
Hao wote wana akili ila hawana akili timamu.Kenya ilishawahi kumiliki BEST JUDGE mkuu ambae hakua ameoa.
Ina maana wotee Hawa HAWANA AKILI?
Malal airudiMimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Akapimwe akiliKwa maelezo ya yule kiongozi flani alisema hawara haruhusiwi kufumaniwa hata kama umemlipia mahari lazma uwe na cheti cha ndoa!
Mwache aende usidai hata kumi songa mbele karibu kwenye chama cha masenior bachelor tukiongozwa na mwenyekiti wetu le mutuzMimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Una maanisha kumbe hata hiyo mahari ya milioni na points jamaa aliikopa hivyo inamuuma sana akikumbuka [emoji41][emoji41] na bado wife wake anamkazia kipenyo.Dah, umaskini mbaya sana
Ni mkeo? Umefunga nae ndoa?Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.
Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.
Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.
Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Kwa hiyo anatudanganya?[emoji28]
Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%. Mashine yangu ipo...www.jamiiforums.com
2015 ulikuwa na miaka 24
2021 una miaka 27 [emoji23]
Ulimuoa akiwa na bikra?Kaka ubarikiwe sana kwa ushauri wako.
Mkuu kwa hiyo unataka kutuambia kwamba Jeff bezos na bill gate hawana akili timamu?Kuoa kwao wao si hoja,wangapi wanawake waliacha ndoa zao toka kwa Wafalme na wala hawakujutia. Mali au hela si kila kitu,wanawake wanatafuta furaha,na hawapendi manyanyaso.
Kingine anaye fanya Dunia itembee ni yule aliye iumba na si mtu,acheni kujidanganya.
Naona kijana huna hoja,mapenzi au ndoa haidumishwi na Mali,bali ni utu,kujali,matunzo na utimamu wa akili.
Kijana naona unaishi mule mule,hoja huna nani alikwambia ndoa inasimamishwa na utajiri ?
Hao wote wana akili ila hawana akili timamu.
Naona kijana umejikita kwenye Mali kama kigezo cha kusimama kwa ndoa au muhimili wa ndoa.
Huu ujinga waambie vijana wenzako vijiweni wenye kujilinganisha na wanawake na kutaka kushindana nao.
Wanaume hatujadilo suala la Wanawake kwa hoja za kitoto namna hii na kumili upande mmoja.