Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Ulitaka akuambie nini wakati umetoa maelezo tu? Yeye kasoma maelezo na amekiri kuyaelewa. Labda kama ungemuuliza swali ndio angejibu tofauti.Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
HahahahaHatua ya pili ya kumwaga mifweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaahKama umeweza kudumu na K7 hivyo Huyo binti kapata mume kwa kweli.
Daaah kaka tatizo naheshimiana nae sanaMwanangu umetongoza kinyooonge.
Dada kaona akikupiga maswali hata mawili tu utasanda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sometime brother jitahidi kupiga simu ukihitaji kutongoza nakwambia ivo kwasababu nimeona muandiko wako hapo so mzuri first mwanamke akisoma atagundua ulikuwa unatype katika hali ya kutokujiamini,,,,ndo maana amekujibu short and clear jambo ambalo limekuacha kwenye maswali mengi....ushauri wangu,,,try to be a Gent Bro
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vp
Ombi gani akati umetoa taarifa ,vijana hapo tu umetumia sms hamuonanani umetetemeka hivyo je uso kwa uso siitakubidi ule ugoroMimi majibu hayo ya nimekuelewa nimeshapewa sana huwa mara nyingi wanamaanisha wamekubali,sasa hapo muulize umenielewa ina maana umekubaliana na ombi langu atakujibu!