Nimemuacha mkurya rasmi

Nimemuacha mkurya rasmi

Ndugu yangu hawa viumbe wanaounda vistory wanaboa. Mara nataka kuolewa mara sihitaji etc

JF imevaa sura mpya people mostly wanatengeneza story ila ukiunganisha matukio yao utajua ni utoto mtupu,thanks kwa kuliweka wazi,uyu mdada ukisoma thread zake na michango yake kama ingekua kweli basi hao wanaume wake wanajaa Yutong.
Watakuja kujibu kwa matusi na kashfa na sio hoja hii ndio JF.
 
Naomba nimtetee maana huyu naye kazidi kuwa fake



watisha wewe ni zaidi CIA
 
Wakuu wangu shikamooni,

Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo

Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.

Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat
Hiri ritoto reo rimenipiga chini kabra sijarirenga!.:smile-big:
 
Uuuuuupsi hongera chacha ... nasikia hiri ritoto ni noma sana
Na wewe ndo uliweza kukaa nae mda mrefu
Haka ka-Manzi@ICHANA kanaonekana kamenona, sijui nikaite, au nako kanapenda chapa!.
 
Wakuu wangu shikamooni,

Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo

Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.

Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat

Hayatuhusu. This is your private business. kama huna cha kuandika, nyamaza kimya. tulia kabisa. soma michango ya wenzako. tumechoka kusoma mada za kipuuzi kama hii.

 
HAHAAAHAAAA! Mimi tenaaaaaaaaa! Nimewaachia ZOA ZOA LYUMBAZ WA JF MSWATI PHYLOSOPHER! Nashukuru huku NIKO PEKE YANGUUUUU! Alihamdullilah!
I'll join u....huboreki kukaa peke yako?
 
Wakuu wangu shikamooni,

Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo

Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.

Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat
Hapo kwenye red ndo utata wangu unapoanzia angalia future usije shikwa nakesi ya ubakaji i guess you have 28yrs na mmeo hajazaliwa acha kutujaribu sema huyo mkurya kakupiga kibuti au ulikua nyumba ntobhu.
 
Hata hivyo huyo jamaa alikuvumilia sana...kuwa na mwanamke kurumbembe kama wewe inahitaji moyo
 
I'll join u....huboreki kukaa peke yako?

Weeeeeeeeeeeeeeeeee! Tutarogana! Tutamalizanaaaa! Vipo vya kushewa ila sio Dushe la Matola? Tafadhaliiiiiiii!

Baki huko huko na kizee chako! Huku mwenyewe mmoja sitoshi we uje kufanya nini? Acha mambo zako kabisaaa!
 
Weeeeeeeeeeeeeeeeee! Tutarogana! Tutamalizanaaaa! Vipo vya kushewa ila sio Dushe la Matola? Tafadhaliiiiiiii!

Baki huko huko na kizee chako! Huku mwenyewe mmoja sitoshi we uje kufanya nini? Acha mambo zako kabisaaa!

Hahahaa....subiri siku arudi na pichu ya kike ndo utajua I mean business
 
Back
Top Bottom