Nimemuambia wife awe anasuka style hii ya nywele ili ku-save cost, kaishia kunisunya na kunibinulia midomo

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]pole mwe didy na mwenzake cthjoel aisee usiende hujajua bei utaumbuka

Haha yani acha tu
Kuna mwingine anajiita Pascomakerover
Ni balaa kunyoa tu na kueka rangi 85k nimekoma[emoji119][emoji23]
 
Chief tafta pesa mambo ya kuanza kumpangia mwanamke aina za kusuka unazingua.
 
Kwa sasa anasuka za bei gani?
 
Ndio mambo yenu ya kipuuzi ya kuoa mwanamke unaemuogopa. Yaani unamshirikisha swala la ukata wa maisha yenu anaona nywele yake ni ya maana kuliko mustakhabari wenu na msonyo juu!? Au ndiye unaishi kwake!??
 
Haha yani acha tu
Kuna mwingine anajiita Pascomakerover
Ni balaa kunyoa tu na kueka rangi 85k nimekoma[emoji119][emoji23]

Huyo anawanyoa kina lulu mwenzangu we[emoji1430][emoji1430]
 
Huyo anawanyoa kina lulu mwenzangu we[emoji1430][emoji1430]

Alafu mimi wa chanika ndani ndani uko nataka na mimi niende[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mtoa mada unamatatizo makubwa Sana zaidi ya hayo ya nywele wengi wanayojadili hapa,

Hivi apo ulipo umetimia KWELI?

Hivi mwanamke anaanzaje kukusonya kwa mfano[emoji848]
 
We nae famba kweli unakosaje kujiamini kiasi hiko mpaka kumuomba abadilishe style ya nywele kuokoa pesa?
Wanawake hawaambiwi vitu kama hivy directly live live.. unaenda naye taratibu kwa action mpaka mwenyewe anaelewa bila ya wewe kusema chochote
 
Dah kuosha tu buku mbona cheap sana hyo aisee, kuosha na ku set nywele au kuweka steaming buku tano
 
Siku hizi unalipa 30,000 unakutana na watoto wakina "mchaichai" wanakuchezea nywele wanajifunza kunyoa.
Duh hatari sana na sikuhizi trends ni kupaka ma rangi nywele kichwani sijui inaitwaje hyo
 
, mimi sikuhizi husuka za mkono napendeza staki mzigo kichwani, Sasa sijui ndio nazeeka maana zamani nilikuwa siwezi kama wewe, ila nowdays sipendi kusuka Rasta ukichangia na hili joto ndio haswa
yeah,mi kuna mda nasuka kwa ajili ya kuacha kichwa kipumue na hata sasa nimesuka nywele saba but nikitoka tu nafunga lembar
 
Utakuwa unamkumbusha machungu,hyo style nywele zinavutwa sana utakuta anaugulia maumivu wiki nzima,yakipoa zinaanza kuwasha, sometimes unawakuta wanajipiga ngumi za kichwa kama wamechanganyikiwa..
 
Ahaaaaaa dah hizi familiya! Kwani yeye hawezi jilipia nywele mpaka alipiwe? Hana kazi? Aisee siwezi omba hela ya kusukia, bora niombe kubwa ninyimwe kuliko kuomba 30000 ya nywele.au nipewe bila kuomba.

Mwanaume namuomba hata laki mbili namdanganya mama anaumwa, nikipewa sawa nikinyimwa sawa. Natengeneza mazingira sio kuropoka eti naomba laki mbili😂

Hizo nywele ni buku tu. Za buku tano ni zaidi ya hizo labda kama anasuka saloon za masaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…