Nimemuelewa DC Sabaya, inawezekana kabisa Godbless Lema alisaidiwa na CCM Arusha kwenda uhamishoni!

kamanda hawezi kukimbnia vita huyo lema ni kama demu malaya tu akigongwa huku anenda kwingine anagongwa sasa hivui anagongewa ulaya
Umeyajulia wapi hayo inaelekea wewe tigo yako inatoa mvuke kwa joto la msuguano!
 
Ulitaka aje kwako na wakati huna makazi maalum?
 
Sabaya ni mzaliwa wa Arusha. Ni mwanaccm wa mkoa wa Arusha. Ni mkereketwa wa mambo ya kijamii, kisiasa, kiutamaduni, kimaendeleo na kiuchumi katika mkoa wa Arusha. Hana sababu ya kupasusa nyumbani kwao.
 
Kwani kuna ma DC wa taifa? Hai na Arusha wapi na wapi? Alitaka Lema asiondoke amfanye nini?
 
Ukimuelewa wewe inatosha kabisa, msituumize vichwa kutuaminisha utopolo
 
Wewe shabiki ole sabaya una kiherehere sana sasa mambo ya lema na usalama wake na familia yake wewe unakukereketwa nini akienda nje ya nchi kutafuta hifadhi
 
Sabaya ni mkuu wa wilaya ya Hai, mambo ya arusha dc yanamhusu vipi? Kwanini anamuingilia kihongosi? Yeye apambane na mbowe huko hai
Yani watu bado wanahangaika sana juu ya lema, uchaguzi umeshapita lakini bado kuna chawa zipo nyuma kufuatilia kaenda wapi
 
Hebu eleza ugumu uliopo.
 
Una muogopa akiendelea kubaki Hai? Kazi ya Hai amekwisha maliza.

Na itakuwa kazi sana kurudisha hali ya kisiasa irudi kama ilivyokuwa kabla Sabaya hajaenda Hai kuwa Mkuu wa Wilaya. .
 
Mwenzio anaendesha maisha yake wewe unaimba taarabu, na hata uenyekiti wa kitongoji hujawahi kuwa, tafuta pesa ujenge maisha yako...
 
Hiyo hukumu itasaidia kuwashawishi wakenye wayapokee mahindi yenu yaliyo pigwa pini hapa longido?
Mmawia sasa umekuwa Mkenya? Au ndio adui yako hujali nani kampiga, wewe shuguli yako ni kushangilia kipigo anacho pata adui ?.
 
Huyu mbona hafi?
 
Sabaya ni mkuu wa wilaya ya Hai, mambo ya arusha dc yanamhusu vipi? Kwanini anamuingilia kihongosi? Yeye apambane na mbowe huko hai
Hata Mbowe wala si saizi yake, aendelee kumlamba bosi wake matako ili kibarua chake kisimee nyasi.

Hivi kapona corona???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…