Nimemuelewa DC Sabaya, inawezekana kabisa Godbless Lema alisaidiwa na CCM Arusha kwenda uhamishoni!

Nimemuelewa DC Sabaya, inawezekana kabisa Godbless Lema alisaidiwa na CCM Arusha kwenda uhamishoni!

Anaongelea uongozi wa CCM na sio wa mkuu wa wilaya, yeye ni mjumbe wa kamati ya CCM mkoa/wilaya.
 
Maccm Sasa baada ya kuwamaliza wabunge wa CHADEMA yameanza kuchafuana yenyewe kwa yenewe
 
Natafuta kujua muunganiko wake na watu wa Arusha. Yeye yupo Hai, Kilimanjaro huko Arusha panamuhusu nini? Kituo chake cha Kazi si Kilimanjaro??
 
DC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:

Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.

Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.

Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.

Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?

Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.

Maendeleo hayana vyama!
Ukuu wa wilaya umepoteza maana, yaani ni ukibaka fulani tu [emoji2788]
 
DC SABAYA aseme kama hata kesi yake ya kumpiga risasi MALAYA pale TRIPLE A ambaye alikuwa anamdai pesa baada ya kumnyonya ...na kumteka askari mlinzi wa getini aliyejaribu kumtetea malaya , huyo askari hadi leo hajaonekana na inasadikika ili kuuwa ushahidi alienda kumuuwa na kumzika kusikojulikana ..pamoja na binti malaya ... hilo hata Gambo anajua kwakua hakukubaliana nalo ....na iko siku mambo yatakuwa wazi
Anayeua kwa upanga huuawa kwa upanga.

Bosi wake anapumulia mashine!Hata yeye kikombe hiki hakiepuki.
 
Alijua ‘ataula’ baada ya uchaguzi. Sasa anajaribu kutoka kivingine.
 
DC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:

Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.

Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.

Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.

Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?

Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.

Maendeleo hayana vyama!
Kuondoka nchini ni rahisi tu na wala hajadaidiwa na ccm
 
DC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:

Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.

Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.

Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.

Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?

Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi Sabaya ni wakuchafuliwa au tayari kajipaka mavi?? Ana nukaaa
 
Dc sabaya ni mwajiriwa huko Hai kilimanjaro, anaishi nyumba ya serikali huko Hai, kilimanjaro. Inakuaje kila siku anazingumziwa kwenye matukio ya arusha? Ninashauri pangua pangua inayokuja ya kuwahamisha wakuu wa Wilaya ,sabaya apangiwe kuwa DC wilaya ya kakonko au biharamulo.
Huyu ni jambazi,akaminywe kende tu.
 
Back
Top Bottom