Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukuu wa wilaya umepoteza maana, yaani ni ukibaka fulani tu [emoji2788]DC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:
Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.
Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.
Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.
Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?
Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.
Maendeleo hayana vyama!
Anayeua kwa upanga huuawa kwa upanga.DC SABAYA aseme kama hata kesi yake ya kumpiga risasi MALAYA pale TRIPLE A ambaye alikuwa anamdai pesa baada ya kumnyonya ...na kumteka askari mlinzi wa getini aliyejaribu kumtetea malaya , huyo askari hadi leo hajaonekana na inasadikika ili kuuwa ushahidi alienda kumuuwa na kumzika kusikojulikana ..pamoja na binti malaya ... hilo hata Gambo anajua kwakua hakukubaliana nalo ....na iko siku mambo yatakuwa wazi
Kuondoka nchini ni rahisi tu na wala hajadaidiwa na ccmDC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:
Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.
Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.
Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.
Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?
Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi Sabaya ni wakuchafuliwa au tayari kajipaka mavi?? Ana nukaaaDC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:
Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.
Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.
Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.
Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?
Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu ni jambazi,akaminywe kende tu.Dc sabaya ni mwajiriwa huko Hai kilimanjaro, anaishi nyumba ya serikali huko Hai, kilimanjaro. Inakuaje kila siku anazingumziwa kwenye matukio ya arusha? Ninashauri pangua pangua inayokuja ya kuwahamisha wakuu wa Wilaya ,sabaya apangiwe kuwa DC wilaya ya kakonko au biharamulo.
Ahaaahaa,Yaan the baptist, naskia ndiye chalamila.Huyo Sabaya na wewe akili zenu zinafana tu