Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Ni mwenyekiti wa familia yangu na nimetosheka kabisa na nafasi yangu.Mwenzio anaendesha maisha yake wewe unaimba taarabu, na hata uenyekiti wa kitongoji hujawahi kuwa, tafuta pesa ujenge maisha yako...
Sabaya ni Diwani hukoSabaya ni mkuu wa wilaya ya Hai, mambo ya arusha dc yanamhusu vipi? Kwanini anamuingilia kihongosi? Yeye apambane na mbowe huko hai
Hapana huwa najambisha watu,kama unahitaji hiyo huduma inapatikana masaa 24Umezoea kujambishwa?
SawaDC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:
Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.
Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.
Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.
Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?
Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.
Maendeleo hayana vyama!
DC SABAYA aseme kama hata kesi yake ya kumpiga risasi MALAYA pale TRIPLE A ambaye alikuwa anamdai pesa baada ya kumnyonya ...na kumteka askari mlinzi wa getini aliyejaribu kumtetea malaya , huyo askari hadi leo hajaonekana na inasadikika ili kuuwa ushahidi alienda kumuuwa na kumzika kusikojulikana ..pamoja na binti malaya ... hilo hata Gambo anajua kwakua hakukubaliana nalo ....na iko siku mambo yatakuwa waziDC Ole Sabaya amesema mambo mawili makubwa:
Mosi, CCM Arusha kuna kandarasi ya majungu ambayo mradi wake mkubwa ni kuwapiga vita wazalendo wa kweli kama yeye.
Pili, Kuvuka mpaka na kwenda kupata ukimbizi nchi nyingine siyo jambo rahisi na mtu mwepesi mwepesi kamwe hawezi kupata fursa kama hiyo.
Lakini, kwa nyongeza kasema Kandarasi ya majungu ya CCM Arusha inamtumia mkimbizi Ansbert Ngurumo kumchafua.
Niliwahi kujiuliza iliwezekanaje Godbless Lema kufanikiwa kuondoka nchini akiwa na familia yake yote hadi beki tatu?
Nimemuelewa sana DC Ole Sabaya.
Maendeleo hayana vyama!
Amesema haogopi kufa!Watu kama hawa siyo wa kuzushiwa kufa, Mungu afanye kweli basi.
Zamani walikuwa wasingizia wapinzani SASA wako wenyewe wamegeuka samaki.Mmmmmmh,mbona majungu
Akawe nani huko atakakopelekwa!Huyu Sabaya wamwamishe pale Hai amekuwa na mazoea mabaya anajikuta ana mamlaka kuliko RC. Apelekwe hata Songea kabisa
Hamna anayeogopa kufa,Amesema haogopi kufa!
Katibu Tarafa.Akawe nani huko atakakopelekwa!
Baada ya kushidwa ubunge,wizi wa magari,biashara ya magari classic,biashara ya bangi na mirungi,Chariii wa Arusha alipiga mahesabu kusomesha watoto wake wote mpaka chuo kikuu hapa TZ huku Serikali ya PNP ikiwa madarakani,akajisepea kwa gia ya ukimbizi.
Mimi siyo mkimbizi atakuwaje vyema kunishinda?Yuko vema kuliko utakavopata kuwa katika maisha yako!! Kila mtu atapaswa kuchagua, kama nawe ilivochagua!! Ungekuwa unafahamu kidogo kuhusu ukimbizi usingeangalia jambo hili kwa macho ya gharama za maisha tu!! Huenda Lema hatakuja kamwe tena Tz lakini yuko vizuri kimaisha na hili linakuumiza sana moyo!
Atapewaje nawakati yumbo gambo bingwa wa majungu na fitna, safari hii mbowe hayupo tenaNadhani ndio atapewa mkoa wa Arusha!
Afukuzwe kabisa! Yule ni kibaka tu..sio kiongoziDc sabaya ni mwajiriwa huko Hai kilimanjaro, anaishi nyumba ya serikali huko Hai, kilimanjaro. Inakuaje kila siku anazingumziwa kwenye matukio ya arusha? Ninashauri pangua pangua inayokuja ya kuwahamisha wakuu wa Wilaya ,sabaya apangiwe kuwa DC wilaya ya kakonko au biharamulo.