Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
 
Na wew kipenz chetu ulitegemea anywe Nini ili ujue ana hela
 
Aiseé milioni tatu ndio mshahara wa mwalimu mwaka mzimaa na hamsemiii🤔🤔🤔

Na Bado Kwenye mikutano ya Wana CCM wanakaa mstari wa mbelee Kwa nyimbo na mapambioo😄😄😄

Nchi ngumu sana hii
 
What means??!

WHAT DOES IT MEAN?
 
Harmonize akiniona nimekwisha
 
Mkali wa walimu ur back,wanatafutana sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…