Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,sio poaWanachamba vizuri tu ila inabidi muda wa kuoga dodoki lipite pia bila hivyo ni majanga.
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Acha kuwadharau walimu mbwiga wewe, kwani ukisema kipato chako bila shobo inakuwaje!!!! Acha mambo yako ya kitoto hayo.Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Hii mali ipo vizuri..Unamsingizia.
View attachment 3222793
Naona hapo ulitaka kujilinganisha na mwalimu tuNikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Kumbe alikuwaga safi tu
Aise mbona alikuwa mzuri tu jamani yani wanawake sijui tunahangaikaga nini
Uoni kawa celebrityAise mbona alikuwa mzuri tu jamani yani wanawake sijui tunahangaikaga nini
celebrity ikiwa tafsida ya chombo cha stareheUoni kawa celebrity
Naona ndo alichokuwa anakitafutacelebrity ikiwa tafsida ya chombo cha starehe
she is literally a sex doll.
men will objectify her forever.
Mwalimu Mpwayungu Village , mimi bia yangu pendwa tangu nianze kunywa bia mwaka 1990 ni Safari Lager, hapo niwe Kempinsky, Protea, Sea Cliff au Dora's Pub.Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Mkuu,Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Sijawahi kuona mtu mwenye hela anakunywa safari.Kunywa safari sio kipimo cha umaskini,
Otherwise wewe ni mshamba