Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana

Nimecheka sana
Kwani pesa ndio inalazimusha kinywaji gani mtu unywe eeee!!!!

Tena safari kwa wanawake in a jambo zuri inafanya.. Kampe mkeo uniletee mrejesho.. (nenda nje ya boksi kwa hili) 🤣🤣🤣🤣
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Acha kuwadharau walimu mbwiga wewe, kwani ukisema kipato chako bila shobo inakuwaje!!!! Acha mambo yako ya kitoto hayo.
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Naona hapo ulitaka kujilinganisha na mwalimu tu
 
Tunaojua vizuri vimiminika hivi wiwili, I'll ll never trade Safari lager for Heineken hata siku moja.
 
IMG_0752.jpeg
 
Ticha hio ni shule gani inamlipa ticha mil 3
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Mwalimu Mpwayungu Village , mimi bia yangu pendwa tangu nianze kunywa bia mwaka 1990 ni Safari Lager, hapo niwe Kempinsky, Protea, Sea Cliff au Dora's Pub.
 
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hana fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Mkuu,
Kwanini mtu mwenye kipato kizuri unaona apaswi kunywa safari? Kwani safari ina madhara fulani hivi?
 
Back
Top Bottom