Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah definitely.People drink for taste mzee,
Ukimkuta Mbowe unapiga Konyagi sio kwamba hana hela ya gordons au Martin,
He drink his taste!
Salamaleko mwalimu mwenye 3m salary kwa mwezi.Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Heineken na safari lager zina alcohol sawa halafu Safari lager ni bia ya asili kabisa.Mimi sinywi pombe Ila bia safari ni bia ambayo wanakunywa watu wote. tangia zamani.
Ualimu uliacha mkuuNikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Shape haina ushirikiano kabisa😃Unamsingizia.
View attachment 3222793
Mzee wa Liwalo na Liwe?Mpwayungu Village kunywa safari sio kipimo cha kukosa hela. Kuna waziri mkuu mmoja mstafu, yeye anakunywa gongo miaka yote, ana afya njema na kichwani yuko vizuri sana.
Nimewaza hivyo pia nikasema labda ana ugonjwa wa viungo.Huyu ni mlemavu?
Huyu na yule malaika mbona hizi shape wanatia huruma badala ya kuvutia?
Labda ni kinywaji chake pendwa.Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Hivi dude kama hilo huwa anajichamba vipi mavi au yeye huwa hanyi?Unamsingizia.
View attachment 3222793
Achana na vitoto hivyo mkuu,hawajui kuwa safari ni bia ya miaka na miaka.Umetokosea sanaaa wala mbuyu " safari"
Sio bia ya kimasikini ,
Siku zote nikiingia sehemu nikiona mtu anakula buyu namuona yuko fresh kichwani ,
Walamba lips hawawezi mziki ule
mkuu inasikitisha sana mabinti wanafanya BBLs kuongeza makalio mwishowe wanakuwa kama makatuni.Kaficha nini huku pembeni? Mbona kama mbuzi mwenye mimba.
Wanachamba vizuri tu ila inabidi muda wa kuoga dodoki lipite pia bila hivyo ni majanga.Hivi dude kama hilo huwa anajichamba vipi mavi au yeye huwa hanyi?