Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Salamaleko mwalimu mwenye 3m salary kwa mwezi.
 
Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Ualimu uliacha mkuu

Sio kwa ubaya lakini
 
😀😀😀😀 Umenikumbusha mwanangu mmoja hivi mwaka jana mwishoni kuna dili aliliotea nikoana ameanza kunywa heinken wakati tulikua team serengeti lager wote. Sasa hivi naona karudi kwenye chama. Anyway uyo harmonize kama iyo ndio bia yake pendwa hakuna ubaya
 
Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Labda ni kinywaji chake pendwa.
Unaweza kuwa una pesa nyingi ila kitu unachokipenda bei yake buku tu.
 
Umetokosea sanaaa wala mbuyu " safari"
Sio bia ya kimasikini ,

Siku zote nikiingia sehemu nikiona mtu anakula buyu namuona yuko fresh kichwani ,

Walamba lips hawawezi mziki ule
 
Back
Top Bottom