Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Nimemuona leo “Poshy Queen” wa Harmonize anakunywa safari. Kumbe wasanii hawana hela…?

Huyu ni mlemavu?
Kwanini?
Screenshot_20250202-215603.png
 
Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Uyo Dem hua hiyo ndio bia yake, anapjaga safari tu sana mara zote ninazomuona maneno,
Ila tatzo hua zinaamia chini Kwa nyuma doh ngoja nitandike nilale.
 
Bia si kipimo cha umaskini.

Miongoni mwa Madhara ya lite inaleta kitambi . Lite 3 ni sawa na Lager 1, do math

Bia aliyotumia Baba wa Taifa usiichukulie Poa.

Safari Lager haitawai kuwa na Mpinzani 🔥
 
Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Uyo Dem hua hiyo ndio bia yake, anapjaga safari tu sana mara zote ninazomuona maneno,
Ila tatzo hua zinaamia chini Kwa nyuma doh ngoja nitandike nilale.
 
Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.

Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.

Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Mpwayungu Village kunywa safari sio kipimo cha kukosa hela. Kuna waziri mkuu mmoja mstafu, yeye anakunywa gongo miaka yote, ana afya njema na kichwani yuko vizuri sana.
 
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
People drink for taste mzee,
Ukimkuta Mbowe unapiga Konyagi sio kwamba hana hela ya gordons au Martin,
He drink his taste!
 
Back
Top Bottom