ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kwanini?Huyu ni mlemavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Huyu ni mlemavu?
Uyo Dem hua hiyo ndio bia yake, anapjaga safari tu sana mara zote ninazomuona maneno,Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Ina maana ME anaweza kuwindwa na ME mwenzieHarmonize akiniona nimekwisha
Uyo Dem hua hiyo ndio bia yake, anapjaga safari tu sana mara zote ninazomuona maneno,Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Naona nyash imeanza kufubaa.Unamsingizia.
View attachment 3222793
Shangazi umelewa?Ina maana ME anaweza kuwindwa na ME mwenzie
Kaficha nini huku pembeni? Mbona kama mbuzi mwenye mimba.
Inabidi tupate a moment of silence for the nyashNaona nyash imeanza kufubaa.
Mtaji unaishia ishia
Mungu kamjaaliaKaficha nini huku pembeni? Mbona kama mbuzi mwenye mimba.
Utauponza🤤Shangazi umelewa?
Nihadithie bloh,, ettty 😜😜😜Utauponza🤤
Una wowowo hongeraNihadithie bloh,, ettty 😜😜😜
Bloo 😡😡😡😡😡Una wowowo hongera
Mbona huo ni shahara wa mwalimu aliyeanza KAZI 2010Aiseé milioni tatu ndio mshahara wa mwalimu mwaka mzimaa na hamsemiii🤔🤔🤔
Na Bado Kwenye mikutano ya Wana CCM wanakaa mstari wa mbelee Kwa nyimbo na mapambioo😄😄😄
Nchi ngumu sana hii
Mpwayungu Village kunywa safari sio kipimo cha kukosa hela. Kuna waziri mkuu mmoja mstafu, yeye anakunywa gongo miaka yote, ana afya njema na kichwani yuko vizuri sana.Nikiwa eneo moja la mikocheni ghafra bin vuuu namwona posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.
Posh pole Sana, umasikini mbaya sana
Mama kasema atawaangalia maslahi yao wasiendelee kudhalilikaWalimu mnashida sana
Hapana. Ila vijana wa mjini wanadai eti anavutiaHuyu ni mlemavu?
People drink for taste mzee,Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It means pesa hanaaaa fullstop tusileteane ngonjera hapa.