Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
😁Naunga mkono hoja
kawaida ya wanawake wa pwani wanapenda kufundishana umalaya NuzulatiKanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Sawasawa haina shida..😂Ewaaaaah, usipochepuka mbona mimi na wewe tutaenda sawa. Ila ukijidai hauridhiki na papuchi yangu huku unategemea mimi niridhike na nanilii yako, utafeli.
Kapu teiiin 😂😂😂Sasa na wewe unaonaje ukafanya kama unaniuhurumia na mimi ukani-PM ili iwe kama kwenye kubeti vile "both team score"
kawaida ya nyie wanawake wa pwani mnapenda kufundishana umalaya.Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.
Sanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
FT 3-0 tayar hyo mama..na magonjwa atakuletea tuKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
"Chakula cha usiku"(if you know what i mean) unaki-enjoy kama kawa tu au kuna mabadiliko?Hyo unayoona hapo cha mtoto hahahah natania mkuu
Hivi wanawake wenzako kama wewe mumebakia wangapi huko store?Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Asante[emoji23][emoji23][emoji23]He he he he dada unaumwa malaria nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniudhiii. Napata hasira kwa niaba yako.
Ningemjib text "bado hujajua kumkatia viuno vizuri ongeza bidii na mimi mama nyuki nitatop up"
Unalaaje kizembe hv[emoji23][emoji23]
Ya yeye kutokujua ndio nzuri maana unafanya huku ukiendelea kumhukumu juu ya usaliti aliofanya. Anakosa amani nyumbani.Ukichepuka bila yeye kujua wakati wewe unajua yeye anachepuka nadhani wewe ndo utakuwa unajiumiza tu..why usifanye na yeye ajue unachepuka?
Amsha dude uone nikupige chini nimvute ndani mchepuko awe rasmi.Halooo, unamwonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Kwanza kabisa mfanye ajue kuwa umejua. Hiyo ni hatua ya kwanza kwao kuachana. Ukishamfanya ajue kuwa umejua njoo tuongeze kinachofuataNdicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Sasa nikisaidiaje? Unataka na wewe?kawaida ya nyie wanawake wa pwani mnapenda kufundishana umalaya.
Wawili, yeye na Mimi tehHivi wanawake wenzako kama wewe mumebakia wangapi huko store?
Umpige nani chini? Labda niamue kuondoka mwenyewe au wewe uniachie nyumba usepe.Amsha dude uone nikupige chini nimvute ndani mchepuko awe rasmi.