Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Samahan mkuu huna ndugu yako huko ambaye hajaolewa?
 

KAma ujamwonea Huruma tafuta kujua kwa nini kaenda nje:
 
He he he he dada unaumwa malaria nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniudhiii. Napata hasira kwa niaba yako.

Ningemjib text "bado hujajua kumkatia viuno vizuri ongeza bidii na mimi mama nyuki nitatop up"

Unalaaje kizembe hv[emoji23][emoji23]
Miss Pablo....!
 
-Au anaweza kuongeza umakini Zaidi Katika kuchepuka
-Au anaweza kuanza kumuogopa Na kumpa talaka mana atahisi anaweza kuchomwa hata kisu usingizini
 
Wewe unafaa sana. Big up..wanawake wotw wawe kama wewe dunia itakua eneo jema sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…