Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Oa au uolewa na rafiki yako na awe anaijua vizuri akili yako..... Siyo wewe unataka kwende Kidimbwi yeye hataki......
Unajua ni Rafiki yangu kinyama... Nimesoma nae na tumeishi kitaa kimoja .... Namjua vizuri Ananijua vizuri ...ndio maana mpaka sasa anahangaika kulimaliza nirudi nyumbani .... Tangu majuzi nilikuwa nahangaika kutafuta makazi .. nimetulia sasa ndio najibu ... Keshawapia mama na mama yake wapo nyumbani (nilipoondoka) .... Niende tukayajenge .... Nimewaambia tu awahadithie madhila yote aliyonifanyia mpaka Mimi kuondoka .... Mkiyaelewa ndio tukae tunaaamuaje kuhusu malezi ya watoto sio kurudi Hapo.
 
Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia at El. Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA
Nna miaka 13 kazini .... Na mwakani nikipanda namalizia vyeo vyote vya Serikali ..nakuwa Principal Officer...nabakiza teuzi tu.... Nna miaka 36... Huyu mwanamke sijui kimemkuta Nini .... Na mahakamani nimeshapeleka ombi la kuvunja ndoa .... Ndio anahangaika isivunjike ....
 
Pole mkuu. Ila haikuwa sawa kumuachia kila kitu. Lakini kuna wakti ukifika nakuelewa mkuu. Liwalo na liwe. May God give you peace mzee. Unaihitaji right now.
Uhuru wa akili na ubongo ni Bora zaidi ya Mali mkuu..... Mali zinatafutwa kiongozi ..ila ukikosa uhuru wa akili ndio unasikia watu wamewehuka na kuchizika .....
 
Mkuu usilianini kamwe chozi la Mwanamke ...alicho kifanya sio kwamba hakijui . Hivyo vikao vyote ni yale maumivu ya kuachwa yanamtesa kwa sababu wewe umeanza kumuacha. Na ninacho kushauri kanyagia hapo hapo .

Endapo ukatudiana nae yeye ndio atakuacha Sasa huku na Mali zote umempa utalia kilii Cha mbwa mwitu
Iko hivi nimeshapeleka ombi la kuvunja ndoa ... Na katika ombi pia nimesemea ...nyumba hii na viwanja hivi abaki navyo ...Mali zote nimetafuta mwenyewe kanikuta nazo .ila naukachia hizi.. Nina mashamba babuuuu....usukumani huku kwimba
 
Tatizo kubwa ni kua wanawake hawapendani na wao wanalijua hili sasa sijui kwanini wanaaminiana.

Hawapend kuona mmoja wao kawazidi wenzie
 
Mzee hiyo hatua uliyochukua ni ya kijasiri sana na itakusaidia wewe.

Kwamba ndoa haina hata mwaka na mmeanza kunyimana mbususu ujue mke siyo wako. Lazima uchomoke.

Tatizo ni kwamba siku utakapowasikiliza ndugu na kuamua kurudi ndo utakuwa umeingia kingi. Utateseka sana. Bora uondoke mapema.

2020 nilimsaidia mshkaji wangu mmoja alinunua nyumba na mwanamke wake (siyo mke halali) ila tifu lilianza baada ya kuhamia kwenye ile nyumba. 5 bedroom apartment iliyogharimu around 400,000 €.

Mpaka leo jamaa anaishi kwenye apartment amepanga huku anaendelea kulipa mkopo wa ile walionunua pamoja maana ametambua hana mshirika kwa yule mwanamke mzungu.

Mwanaume ni maamuzi! Tena maamuzi yawe magumu na ya kuumiza kwa wakati huo ila ni dawa.
We Mzee 2016 .....
 
Mtoto wa nzi mm ni rafiki yko sana kwenye jukwaa letu la Vita vya urusi na ukraine
ila tatizo lipo kwenye dini yenu kuruhusu mke mmoja kiukweli Mwanamke mmoja ni Mama mzazi tu
Uislamu haukukosea ulivosema tuoe wa4 mna Muumba anawajua hao viumbe
All in All tafuta usahihi katika hizi dini mbili

IMG_7926.jpg
 
Kunywa maji

Shusha hasira

Kaa na mkeo.mzungumze

Akwambie yanayomkwaza na wewe useme yanayokukwaza

Ndoa ni wawili

Kwa njni muache issue zenu zisambae kwa ndugu wachungaji na jamaa

Kuna sababu akawa anakunyima kuwavtayari kumsikiliza

Umpe nawewe za kwako

Muamue kwa pamoja kuyajenga

Ndoa sio lele mama ndugu. Na hasa kama mna watoto.

Kuna kipindi unaweza kumuangalia mwenzio ukawaza hii ng'ombe umeitoa wapi!!!
Amekuwa na makundi sio...
 
Unamuachiaje mwanamke kila kitu...?Hapo umempa uhuru wakufanya anacho jisikia unachotakia n kumrudisha kwao atulue kidogo
Mbona hazitaki ... Kamuita Mama yangu na mama mkwe ..baba yangu kafariki 2002, baba yake kafariki 2020 .... Anachoomba nirudi nyumbani atabarika ... Anajua jinsi navyopambana ... Nimemwambia baki navyo ... Ameomba mpaka Misa ya kubariki ndoa ....
 
Back
Top Bottom