Nimenuniwa na mpenzi wangu

Mpaji Mungu huyu huyu ambae alikua haogi hata mwezi pale same boys, ndio una mwita leo totoooπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ😝
Usinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion πŸ˜‚πŸ˜‚ Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasa
 
Usinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion πŸ˜‚πŸ˜‚ Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasa
Mkuu ni tatizo pcb 2 nkuruma ni kisanga, kuna mtangazaji mmoja ni mwenetu wa same namzoom tu na tambo zake 😁😁😁😁
 
Pole. Anahitaji muda tu. Yupo off mood na wewe, because kakuzoea sana au pengine ana mwingine anayempa furaha akiikosa kwako. Wewe pia mute , atakutafuta tu.
 
🀣🀣🀣🀣 aaa wapi umechemka vibaya mno ila umenifanya nicheke hizo skuna
No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi 😹)
 
Ushaachwa,
Achika!
 
No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi 😹)
mpendwa kivipi???
Kiboko ya wachawi🀣🀣🀣🀣 huyu huyu aliyewaliza watanzania na kuwaita wajinga na wew ulikuwa mfuasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…