Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Usinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion ππ Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasaMpaji Mungu huyu huyu ambae alikua haogi hata mwezi pale same boys, ndio una mwita leo totoooπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ
kuna mtu alijibiwa hivo hadi sasa anasubiria,tangu JanuaryKuwa na amani ntakutafuta akili yangu ikitulia.
Tatizo ni namna ya kuomba π€π€Mpaji Mungu sio kila kitu nikufundishe totoo!
Mkuu ni tatizo pcb 2 nkuruma ni kisanga, kuna mtangazaji mmoja ni mwenetu wa same namzoom tu na tambo zake ππππUsinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion ππ Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasa
Hahahahakuna mtu alijibiwa hivo hadi sasa anasubiria,tangu January
πππKama umetoka salama mule tunasema Mungu ni mwema!Mkuu ni tatizo pcb 2 nkuruma ni kisanga, kuna mtangazaji mmoja ni mwenetu wa same namzoom tu na tambo zake ππππ
Namsaidia tu mdogo wangu hapo aondokane na hali ya upweke.Eeee huu udalali kutokea chuo gani eee π€£π€£π€£
Namsaidia tu mdogo wangu hapo aondokane na hali ya upweke.
π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ aaa wapi umechemka vibaya mno ila umenifanya nicheke hizo skunaYani sijui tu ,nahisi tu bwana yesu asifiwe kwa sana, na usiniguse nimeokoka hazikaukiπ€£π€£π€£π€£
View attachment 3086934
π€£π€£π€£π€£ aaa wapi umechemka vibaya mno ila umenifanya nicheke hizo skunaYani sijui tu ,nahisi tu bwana yesu asifiwe kwa sana, na usiniguse nimeokoka hazikaukiπ€£π€£π€£π€£
View attachment 3086934
No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwaπππ ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi πΉ)π€£π€£π€£π€£ aaa wapi umechemka vibaya mno ila umenifanya nicheke hizo skuna
Wew na petro mna undugu eeeeπ€£π€£π€£Mimi sio mdogo wako mkuu,mbona huwa mnanichukulia dogoπππππ
Petro yupi tena ππππWew na petro mna undugu eeeeπ€£π€£π€£
Jitahidi kaka mkubwa upweke una uwaπ€£π€£π€£Namsaidia tu mdogo wangu hapo aondokane na hali ya upweke.
π€£π€£π€£
Ushaachwa,Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Sawa,sasa nikuite nani mwana JF?π€£Mimi sio mdogo wako mkuu,mbona huwa mnanichukulia dogoπππππ
Kabisa mkuu same panatisha ile ni kambi ya uzinziππππKama umetoka salama mule tunasema Mungu ni mwema!
ππππππSawa,sasa nikuite nani mwana JF?π€£
Kama uko chini ya 39 years wewe ni mdogo wangu
mpendwa kivipi???No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwaπππ ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi πΉ)