Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Legeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside bar
Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa......
Na hilo nalo tuliseme? Ngoja nikavute zangu Kiko miye huko nje π€
Asipo kuelewa tena , acha ateseke tuπππUbalozi wa nyumba kumi unanitosha..!
π€£
Uzee huu wa kujinadi kama mzee wa futuhiπTunajaribu kuwaamsha Vijana, sisi tumeshazeeka Mzee mwenzangu π€
Umejuaje nina namba ya Mzee wa Tabora, naanza kuwa na mashaka na Wajukuu zangu sasa π
Mapenzi hayahitaji semina ,chuma leo lazima kiende πMioyo chuma, mioyo iliyokubuhu mnaitwa huku mtoe seminaπ€£
Enzi zangu,bila kunipea kitu niweke chululuu yangu hakuna mapenzi.Mapenzi na Ngono ni vitu tofauti watu wana complicate sana.lakini kwenye mapenzi,ngono nikiburudisho tosha.
Unaweza ukasubiri muoane ndio mburudishane na mkaja kuachana!?.
Ila watu wanaweza kufanya ngono pasipo kuwa na mapenzi.swala la ngono nimakubariano kwa nyie kwamba mnahisi kushiriki ngono,sio big issue kwamba liwe na konakona wala sio swala zito ni sisi tu kuiwekea uzito.
Mfano.back in the days zambia.tulienda kwa rafiki wa mshkaji wangu (KE) alinitambulisha kuwa huyu ni friend wangu ni mbongo.manzi ikakolea ikasema naskia wabongo wako na taste yake.akaomba nimpelekee rungu nami skulembaaaπ,basi ikawa kama Ameosha nyota,nawengine wengi.mfano usitumike kwa nia potofu.hii ni kwa hisia kuwa ukitafakali ngono sio swala la uzito.ila usizini na ndugu au familia chunga (mke wa mtu/mume wa mtu ni sumu)
Babu Yani hata hugging tu nimeweka ban ...inshory sitaman kuwa kwenye Hali yoyote ya physical intimacy Na yeyeππππLegeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside bar
Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa....
Na hilo nalo tuliseme? Ngoja nikavute zangu Kiko miye huko nje π€
Ivi iko ndo cha kumnunia MTU jamaniiKumbe ukweli/chanzo cha yeye kukaa kimya unakijua
ππππHapanaKalewe tu, badae usije patana ukamwambia min alisema nikuache kwanza una tabia za kike za kununanunaπππ
Your backerβs got your six so ataelewa tu au tumfungulie kesi ya uhujumu uchumi wa mapenzi kwa kosa la kula pesa na kikojoleo hatoi.Asipo kuelewa tena , acha ateseke tuπππ
Babu alisema atafanya Ivo soonKama alikuhaidi mkumbushe ahadi yake.....ama vipi mwambie atume Wajumbe waje kwenu kuleta Posa
Otherwise anaweza kuonja na asirudi, maana Siku hizi Kuna aina nyingi za mapishi japo Mchele ni huo huo wa Kamsamba π
Late 20'sSorry nataka nikuulize swali kidogo upo kwenye age ipi 20's au 30's ukinijibu nataka nikupe maoni yangu
π π π π mimi sijasema lakiniYour backerβs got your six so ataelewa tu au tumfungulie kesi ya uhujumu uchumi wa mapenzi kwa kosa la kula pesa na kikojoleo hatoi.
ndio anayeliwa ni mwanamke,wanaume anakula au unaongelea wale wanaume wanaopendwa kuliwa?Sio wanawake tu mkuu, kwani wanaliwa na mchwa?πππ
kumbe mdogoLate 20's
Msikate tamaa kabisa ipo siku mambo yatajipa kama hiviKwa hiyo kumbe tunaosumbua wapenzi wa wa watu ,tusikate tamaa , kuna siku tutafakiwa tu.?π π π
Hapana ,kamwe siwezi ongelea hao , ukiona wanawake wanafanyiwa kimasihara ,ujue na sisi tunafanya kimasihara ,both team to score mkuu.ndio anayeliwa ni mwanamke,wanaume anakula au unaongelea wale wanaume wanaopendwa kuliwa?
Kwani babu hamuwez kuoa bila kufunuaanaSio vibaya kutingisha kiberiti kidogo
Vinginevyo unaweza kupigishwa deshi hadi uchanganyikiwe
Mimi pia nakumbuka niliwahi kutumia trick kama hiyo Mwaka 47, japo mbinu kidogo zimebadirika π