Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Legeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside bar

Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa......

Na hilo nalo tuliseme? Ngoja nikavute zangu Kiko miye huko nje 🤗

Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa......tia nyama kidogo hapa babu🤣
 
Ni kawaida tukishakupata ndo tunaanza kuona kasoro, ukitembea tunajiuliza moyoni "Hee hivi huyu anatembeaje tembeaje hivi kama kapata ajali na mtei"
 
Mapenzi na Ngono ni vitu tofauti watu wana complicate sana.lakini kwenye mapenzi,ngono nikiburudisho tosha.
Unaweza ukasubiri muoane ndio mburudishane na mkaja kuachana!?.

Ila watu wanaweza kufanya ngono pasipo kuwa na mapenzi.swala la ngono nimakubariano kwa nyie kwamba mnahisi kushiriki ngono,sio big issue kwamba liwe na konakona wala sio swala zito ni sisi tu kuiwekea uzito.

Mfano.back in the days zambia.tulienda kwa rafiki wa mshkaji wangu (KE) alinitambulisha kuwa huyu ni friend wangu ni mbongo.manzi ikakolea ikasema naskia wabongo wako na taste yake.akaomba nimpelekee rungu nami skulembaaa😂,basi ikawa kama Ameosha nyota,nawengine wengi.mfano usitumike kwa nia potofu.hii ni kwa hisia kuwa ukitafakali ngono sio swala la uzito.ila usizini na ndugu au familia chunga (mke wa mtu/mume wa mtu ni sumu)
Enzi zangu,bila kunipea kitu niweke chululuu yangu hakuna mapenzi.

Nilikuwa "nipe ya kukojolea nikubabue and then tuzindue mahaba motomoto" nje ya hapo kila mtu apinduke apendapo.
🤣
 
Legeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside bar

Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa....

Na hilo nalo tuliseme? Ngoja nikavute zangu Kiko miye huko nje 🤗
Babu Yani hata hugging tu nimeweka ban ...inshory sitaman kuwa kwenye Hali yoyote ya physical intimacy Na yeye😌😌😌😌
 
Kama alikuhaidi mkumbushe ahadi yake.....ama vipi mwambie atume Wajumbe waje kwenu kuleta Posa

Otherwise anaweza kuonja na asirudi, maana Siku hizi Kuna aina nyingi za mapishi japo Mchele ni huo huo wa Kamsamba 🙌
Babu alisema atafanya Ivo soon
 
ndio anayeliwa ni mwanamke,wanaume anakula au unaongelea wale wanaume wanaopendwa kuliwa?
Hapana ,kamwe siwezi ongelea hao , ukiona wanawake wanafanyiwa kimasihara ,ujue na sisi tunafanya kimasihara ,both team to score mkuu.
 
Back
Top Bottom