Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
huwa inatokea dodo kuangukia chini ya mnaziKwa hiyo kumbe tunaosumbua wapenzi wa wa watu ,tusikate tamaa , kuna siku tutafakiwa tu.?😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa inatokea dodo kuangukia chini ya mnaziKwa hiyo kumbe tunaosumbua wapenzi wa wa watu ,tusikate tamaa , kuna siku tutafakiwa tu.?😅😅😅
Na lazima itokee tu mkuu, mapenzi mengi miyeyusho tu😁😁😁😁huwa inatokea dodo kuangukia chini ya mnazi
Sio vibaya kutingisha kiberiti kidogoJamaa anaandamana hadi apewe tumbua😂
Hasa wanawake wa siku hizi wanaliwa sana kimasiharaNa lazima itokee tu mkuu, mapenzi mengi miyeyusho tu😁😁😁😁
Babu sasa hivi ukitingisha kibiriti kidogo unakuta ashafanywa chekecheke😂😂Sio vibaya kutingisha kiberiti kidogo
Vinginevyo unaweza kupigishwa deshi hadi uchanganyikiwe
Mimi pia nakumbuka niliwahi kutumia trick kama hiyo Mwaka 47, japo mbinu kidogo zimebadirika 😜
Una ufalla mwingi dogo😂Sio vibaya kutingisha kiberiti kidogo
Vinginevyo unaweza kupigishwa deshi hadi uchanganyikiwe
Mimi pia nakumbuka niliwahi kutumia trick kama hiyo Mwaka 47, japo mbinu kidogo zimebadirika 😜
Sio wanawake tu mkuu, kwani wanaliwa na mchwa?😛😛😛Hasa wanawake wa siku hizi wanaliwa sana kimasihara
Basi mwache akale kwingine we kiache kiliwe na kutu...Siwez kushusha thamani yangu
Lazima uwe mjanja kidogo, vinginevyo utaambulia mabua tu 😜Babu sasa hivi ukitingisha kibiriti kidogo unakuta ashafanywa chekecheke😂😂
Hiyo condition kwa kipindi hichi haifanyi kazi unavyomnyima unadhani nyege zake akazitibu wapi?Sijampa kweliii
Ukiwa nae na hayo mapenzi moto moto ,ujue kabisa kuna vijana wanawinda kama Simba, na wanasimamia ukucha kama dubu😅😅😅😅Lazima uwe mjanja kidogo, vinginevyo utaambulia mabua tu 😜
Tunajaribu kuwaamsha Vijana, sisi tumeshazeeka Mzee mwenzangu 🤗Una ufalla mwingi dogo😂
Nipe namba ya Dr. Wa Tabora
Mwenzako kasema kisa kamnyima jamaa nyapu mpka waowaneKwahiyo leo chungu cha tatu au sio
Ikishafikia hiyo stage ndiyo nakumbuka wimbo wa Harmonize "Namficha Kwapani"Ukiwa nae na hayo mapenzi moto moto ,ujue kabisa kuna vijana wanawinda kama Simba, na wanasimamia ukucha kama dubu😅😅😅😅
Wewe hauna hisia za mapenzi kiasi ambacho umnyime mwenzako mpaka mfunge ndoa?Maamuzi
Binti Miss_MariaahNatafuta pakuanzia mkuu😊
Mkuu sijui kwanini hawajakuita kwenye masuluhishi ya migogoro huko ukanda wa gaza🤔🤔🤔🤔Binti Miss_Mariaah
Mchumba huyu so delete his silence and add min -me smiles
Lose his namba za simu and save za min -me sababu If he’s not talking then he’s not worth the storage space,za kijana hapo atakuwa your favorite contact
Trade his silence for heartfelt convo sababu best love stories start with deep talks kingine soft whispers na tu hela na tu zawadi kwa mbaaaaaali..! so kijana atakupatia
Unsubscribe from borinh sababu una deserve more than one word answers so kijana atakutendea vyema
May the ALMIGHTY bless your new journey of love with passion,connection and endless joy
min -me
Miss_Mariaah
Ubalozi wa nyumba kumi unanitosha..!Mkuu sijui kwanini hawajakuita kwenye masuluhishi ya migogoro huko ukanda wa gaza🤔🤔🤔🤔