Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Acha maswali, beba shindikana mwenzio , weka ndani mlisongoshe kibishi.Kwa nini master? 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maswali, beba shindikana mwenzio , weka ndani mlisongoshe kibishi.Kwa nini master? 🤣🤣🤣
Usikute huyu ni Brother K, who knows 🤗Uzee huu wa kujinadi kama mzee wa futuhi😂
Kwa nini master? 🤣🤣🤣
Tarehe za Kodi hiziHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Legeza masharti Mjukuu, hata Bibi yenu angenifanyia hayo sidhani kama tungewezana 🤗Babu Yani hata hugging tu nimeweka ban ...inshory sitaman kuwa kwenye Hali yoyote ya physical intimacy Na yeye😌😌😌😌
Hapana, unapiga msosi mzito na kinywaji laini, mwili muda wote unakuwa na joto, huku ukirusha maji taratiibuAaah weee nitakojoa damu sasa
Binti Miss_Mariaah
Mchumba huyu so delete his silence and add min -me smiles
Lose his namba za simu and save za min -me sababu If he’s not talking then he’s not worth the storage space,za kijana hapo atakuwa your favorite contact
Trade his silence for heartfelt convo sababu best love stories start with deep talks kingine soft whispers na tu hela na tu zawadi kwa mbaaaaaali..! so kijana atakupatia
Unsubscribe from borinh sababu una deserve more than one word answers so kijana atakutendea vyema
May the ALMIGHTY bless your new journey of love with
Eeee huu udalali kutokea chuo gani eee 🤣🤣🤣
Umempamba sana mkuu.Una -wisdom Sana mkuu ukioa utajenga familia bora .
Wewe acha wajichanganye tu🤣Heeeh! Shindikana unajua kuwaibia eeh🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Wewe unaharibu sasa🥲Eeee huu udalali kutokea chuo gani eee 🤣🤣🤣
Mbona kina Atoto Wanasema mimi ni shindikana eti🤣🤣😅
Unajitesa bure mwanangu!Bora ujue kosa Lako ujue ulimkosea
🙄Kumbe na mimi ni smart boy🤣🤣🤣.
😁😁 hapo unabidi uwe Kama Aziz K uanze kupiga dead ball ataona how smartest you are!
😅😅😅Hapana, unapiga msosi mzito na kinywaji laini, mwili muda wote unakuwa na joto, huku ukirusha maji taratiibu
Umempamba sana mkuu.