Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yani kijana wa boda asubirie mshahara mwisho ea mwezi?! Anakua anakula nini sasa?
We mpangie hesabu hiyo ya mshahara haiwezekani.
We mpangie hesabu hiyo ya mshahara haiwezekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba ndo inakuaje?Iuze hiyo pikipiki ongeza pesa wekeza kwenye ardhi au kitu kingine kama unaweza kupata mtu mpe mkataba
Kama bei gani?Yani kijana wa boda asubirie mshahara mwisho ea mwezi?! Anakua anakula nini sasa?
We mpangie hesabu hiyo ya mshahara haiwezekani.
Petrol kakakumbe kuna pikipiki za kutumia oil na hamsemi? waja mna siri
Mafuta anajaza nani
Kijana anakupa 10000 Kwa miezi 12 Kisha pikipiki inakuwa ya kijana ila Bora ufanye issue nyingineMkataba ndo inakuaje?
Sawa. Nipe maarifa mkuuHii inaitwa bodii bila maarifa....🤣
Kama ishu gani?Kijana anakupa 10000 Kwa miezi 12 Kisha pikipiki inakuwa ya kijana ila Bora ufanye issue nyingine
ili aje atuvunje viuno barabarani..?Hsichukui hata robo saa kujifunza kuendesha pkpk
Nunua hata ardhi maana Kuna siku iyo pikipiki itakufa na wewe hujapata hata miaKama ishu gani?
Itakufa kwa vipi?Nunua hata ardhi maana Kuna siku iyo pikipiki itakufa na wewe hujapata hata mia
Hahaili aje atuvunje viuno barabarani..?
Itakuwa mbovu kiasi Cha kutoweza kutengenezeka upo wapi kwani?Itakufa kwa vipi?
Kiongozi umenichekesha sanaa, sasa oil kujazwa full tank tena?Wale wazoefu naomba msaada jinsi ya kuweza kuepuka kuletewa hesabu finyu. Nimewza niwe najaza oil full tank then yy anipe hesabu yote kisha nimlipe mwisho wa mwezi. Naomba ushauri, pia maeneo gani yana kua na wateja wa kutosha ili dogo atege hayo maeneo. Nipo iringa.
Labda itokee uliyemkabidhi awe muaminifu lakini wengi wao ni wasumbufu sana.lakini kama ni mwalimu unaweza kusimamia vyema maana utakuwa na muda mwingiMimi ticha kaka kibaruani ndo kumenipa iyo kitu then ni private. Sina Muda. NB usiniaambie niache kazi sitakuelewa