Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Mkuu Mimi ninafanya hii biashara unachotakiwa ni kufunga naye mkataba wa miezi kadhaa ambapo kila wiki isipungue 70,000/=
Mimi kila wiki analipa 75,000/= ambapo kwa mwezi ni Tsh.300,000/=
Mafuta, oil na service nyingine juu yake, akimaliza muda wa mkataba bila shida anachukua Pikipiki.
Kiukweli zinalipa, usikatishwe tamaa pambana!
NB: miezi ya mkataba inategemeana na Bei Yako uliyonunulia ili pesa irudi na Faida upate ya kutosha.
Mimi kila wiki analipa 75,000/= ambapo kwa mwezi ni Tsh.300,000/=
Mafuta, oil na service nyingine juu yake, akimaliza muda wa mkataba bila shida anachukua Pikipiki.
Kiukweli zinalipa, usikatishwe tamaa pambana!
NB: miezi ya mkataba inategemeana na Bei Yako uliyonunulia ili pesa irudi na Faida upate ya kutosha.