Nimenusurika kufa usiku huu na ajali

Nimenusurika kufa usiku huu na ajali

Kigugumiza

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2022
Posts
508
Reaction score
687
Jamani ajali haina kinga,

Gari aina ya canter Limekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kufeli breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
 
Jamani ajali haina kinga,gari aina ya canter imekuja kugonga chumbani kwangu,baada ya kuferi breki.Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu,likajaa wanguwangu mpaka chumbani.Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana,tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia,kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Pole sana
 
Bora ungekufa tu, kwenye gari kulikuwa hamna mtu lilijiendesha? Nenda kale kitimoto kesho asubuhi.
Muuza kangala,ajali hiana kinga,huwa nasafiri kalibu kilomita alfu3 kila mwezi,nashuhudia gari kibao njiani zimeanguka,huu ni mwaka zaidi ya ishirini,lakini leo gari imenifata chumbani kwangu,jiulize wewe uko salama sababu ya kangara yako?
 
Jamani ajali haina kinga,gari aina ya canter imekuja kugonga chumbani kwangu,baada ya kuferi breki.Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu,likajaa wanguwangu mpaka chumbani.Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana,tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia,kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Pole sana ndugu. ila hapo inakuaje inafeli break na gari ilikua hakuna dereva
 
Pole sana.

Yaani ungekula Sikukuu kwa tabu sana au usingekula kabisa.

Shukran ndiyo jambo pekee muhimu kwa sasa.
 
Jamani ajali haina kinga,gari aina ya canter imekuja kugonga chumbani kwangu,baada ya kuferi breki.Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu,likajaa wanguwangu mpaka chumbani.Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana,tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia,kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Pole sana, mshukuru Mungu sana kwa jambo hilo
 
Jamani ajali haina kinga,

Gari aina ya canter imekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kuferi breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
.... hakuna aliyeumia! mwenzetu una wake wangapi humo chumbani?
 
Back
Top Bottom