Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Sema kwenye gari alikuwepo dereva peke yake...ukisema hakukuwa na mtu unamaanisha hata dereva hakuwepo, sasa hilo gari lilijiendesha lenyewe?Jamani ajali haina kinga,
Gari aina ya canter imekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kuferi breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu