Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu hao mbwa walinipiga 400K sitokuja sahau.
Ni kweli usemavyo ila siku zote biashara bila risk sometimes inakuwa ni ngumu, so inabidi tu kujua ni jinsi gan unakuwa makini ili yasitokee ya kutokea, Mengine pia ni kumuomba Mungu atuepushe nayoSio kwa ubaya ila kuna watu mna amini watu sana, yaani mtu hujaonana naye then unaacha tu mzigo na kwenda kusubiria hela yako shemu ambayo hata hamjaonana, kweli?? Cha msingi ni kuwa leta hiyo hela hapa dukani ama tuma mtu vinginevyo siachi mzigo na hivyo ndio inavyopaswa sasa imani iliwa hivyo tu si unakula loss kizembe kabisa
Huyu naye vipi? Kwani kosa lako ni lipi hapo?me bado yanki mkuu sina watoto