Nimenyimwa kibali baada ya kuomba kujenga Magereza binafsi

Nimenyimwa kibali baada ya kuomba kujenga Magereza binafsi

Sidhani kama kuna magereza binafsi Marekani zinaweza ku lobby kwa majaji wawafunge watu tu kiholela ili wapate wateja
Then naona watu wamejikita kuangalia madhara hasi.

Mimi nililenga endapo MTU amekamatwa na ana uwezo wa kiuchumi au familia yake.

Anaweza kutafutiwa gereza binafsi lenye huduma nzuri na za kisasa .

Ebu fikiria hali ya magereza ilivyo watu wanaishi sehemu chafu .

Endapo tungekuwa na magereza binafsi tungeondoa msongamano gerezani na wale wenye uwezo wakapelekwa magereza binafsi.

Faida ambazo zingepatikana ni nyingi Sana.



Wau weusi ni low thinkers Sana .
 
Siungi mkono magerza binafusi maana watu watafunga ili magerza yajae wamiliki wapate faida. Ila pia Tanzania hatuna serikali inayo Jari maendeleo ya watu , tuna genge la watu linalo jiita serikali. Kazi ya genge hilo ni kuhakisha hakuna kinacho basilica katika taifa. Maana mabadiliko yoyote ni hatari kwa genge hilo.
Hizi ndo akili za MTU mweusi tenga muda kufikiria kwanza.
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Wewe ndio una low thinking. Au utueleze kwanza, gereza binafsi utatoaje huduma? Kwamba mfungwa akihukumiwa kifungo, atakfika kwenye gereza lako na atalipia yeye ama serikali?

Unafikiri magereza ni biashara?
 
Wewe ndio una low thinking. Au utueleze kwanza, gereza binafsi utatoaje huduma? Kwamba mfungwa akihukumiwa kifungo, atakfika kwenye gereza lako na atalipia yeye ama serikali?

Unafikiri magereza ni biashara?
Sawa Ila nadhani hii hoja imekuzidi upeo.
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Ungeomba kibali cha kuanzisha kanisa wala using epitaph tabu. Na check cha Nabii na Mtume au Askofu Mkuu ungepewa hapohapo....
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Tuna Matatizo kibao SUGU .
1-UMEME ( Energy)
2-MAJI(WATER)
3-AFYA(HEALTH)
4-BARABARA(ROAD)
Omba kibali ujenge haya ndio vitu vya msingi ,unataka jenga Magereza ya kazi gani.
 
Tuna Matatizo kibao SUGU .
1-UMEME ( Energy)
2-MAJI(WATER)
3-AFYA(HEALTH)
4-BARABARA(ROAD)
Omba kibali ujenge haya ndio vitu vya msingi ,unataka jenga Magereza ya kazi gani.


Sawa Ila nyie shida yenu IPO ghorofani na haitokaa mpige hatua
 
Ni kutengeneza mfumo sahihi tu, kwa mfano kutunga kanuni waliokwisha kuhudumia vifungo vya muda mrefu na kubakisha vifungo vya mwaka mmoja tu ndio watahamishwa magereza binafsi.

Kuna matatizo ambayo ukiyaangalia huko Marekani ni kama cost of progressive societies mfano umiliki wa bunduki na corporations kama za Big pharma n.k
Watu hawaheshimu mifumo wanavunja utaratibu kuanzia katiba mpaka kula bila kunawa.
 
Siungi mkono magerza binafusi maana watu watafunga ili magerza yajae wamiliki wapate faida. Ila pia Tanzania hatuna serikali inayo Jari maendeleo ya watu , tuna genge la watu linalo jiita serikali. Kazi ya genge hilo ni kuhakisha hakuna kinacho basilica katika taifa. Maana mabadiliko yoyote ni hatari kwa genge hilo.
Mbona sasa kuna watu wengi tu magerezani wanaoishi kama wafungwa wakati hawajawahi hata kuhukumiwa mahakamani?!
 
Magereza binafsi ni jambo baya sana.

Mtafanya magereza ni biashara na kuwa na incentive ya kukamata watu muwafunge bila sababu muhimu ili mfanye biashara ya magereza tu.

Hili ni tatizo kubwa sana Marekani tayari.
Kwa hiyo hii mkuu mwenye gereza anafaidikaje maana sidhani kama wafungwa wanaweza kulipia au anakua anapata gawio kutoka serikalini kwa ajili ya kuendesha gereza ?
 
Then naona watu wamejikita kuangalia madhara hasi.

Mimi nililenga endapo MTU amekamatwa na ana uwezo wa kiuchumi au familia yake.

Anaweza kutafutiwa gereza binafsi lenye huduma nzuri na za kisasa .

Ebu fikiria hali ya magereza ilivyo watu wanaishi sehemu chafu .

Endapo tungekuwa na magereza binafsi tungeondoa msongamano gerezani na wale wenye uwezo wakapelekwa magereza binafsi.

Faida ambazo zingepatikana ni nyingi Sana.



Wau weusi ni low thinkers Sana .
Uko sahihi sana mkuu tatizo magereza za kibongo nyingi zinachukuliwa kama sehemu ya kuadhibu na kukomoa tu watu na sio sehemu za kurekebisha tabia/ "correction facilities", ndio maana ni vigumu sana kupata story za watu waliotoka katika magereza yetu wakafanya maisha ya maana uraiani.
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Ukichaa huanza hivyohivyo!
 
Ww utafaidikaje na majengo hayo. Utaikodishia serikali? Au utaingia ubia na mahakama uwe unazinunua hukum watuhumiwa wakipigwa nyundo unawasogeza kwenye rupango lako? Vipi kuhusu mochwari nayo utafaidikaje... Utakuwa dalali wa viungo unanyofoa unawauzia wadau wake na mshana?
Afadhali mochwari Maana zitasaidia sana , Maana wapo watu Wana uwezo na wanataka huduma nzuri za kuhifadhi wapendwa wao na wapo tayari kulipa.
 
Kwa hiyo hii mkuu mwenye gereza anafaidikaje maana sidhani kama wafungwa wanaweza kulipia au anakua anapata gawio kutoka serikalini kwa ajili ya kuendesha gereza ?
Gereza zima linaendeshwa kibiashara.

Kampuni inalipwa na serikali kwa kuhesabu wafungwa, hivyo inakuwa na incentive ya kuongeza wafungwa.

Pia, wafungwa wanauziwa goods and services at inflated prices. Kuna mchizi wangu alikuwa ndani huku US kuongea naye kwenye simu tu ni maumivu makubwa sana kwa sababu unaweza kutumia karibu dola moja kwa dakika kuongea naye.

Makampuni yanafanya Magereza kama real estate deal yanawachaji serikali bei ya juu kama.kuwakodisha.

Makampuni yana lobby kupandisha bei ya vitu ili kupata faida zaidi. Suala zima la watu jufungwa linakuwa biashara tu badala ya ethics za kubadiki watu.

Pia wafungwa wanafanyishwa kazi sehemu nyingine hata kinyume na masharti ya ILO na haki za binadamu.

Kifupi watu wanaangalia wafungwa kama vichwa vya kutengenezea pesa tu.
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Wazo lako ni zuri sana maana magereza nyingi ni za zamani sana
 
Katika nyakati hizi ambazo ajira ni changamoto . baadhi ya wawekezaji hatupewi nafasi ya kutosha katika kutimiza ndoto zetu za uwekezaji.

Nimetoa pendekezo kuhusu kujenga magereza binafsi pamoja na mortuary binafsi .

Ila naona feedback ni ndogo Sana . Magereza binafsi zingekuepo hizi ndo faida zake

Kutoa ajira. Kuweka mazingira bora Kwa mahabusu na wafungwa.

Kuisadia serikali katika kuhudumia wafungwa na mahabusu.

Vile vile mortuary binafsi zingetoa ajira, Zingeisadia serikali

Tuna low thinkers wengi katika ufanyaji maamuzi.
Umepuliza bangi
 
Back
Top Bottom