Gereza zima linaendeshwa kibiashara.
Kampuni inalipwa na serikali kwa kuhesabu wafungwa, hivyo inakuwa na incentive ya kuongeza wafungwa.
Pia, wafungwa wanauziwa goods and services at inflated prices. Kuna mchizi wangu alikuwa ndani huku US kuongea naye kwenye simu tu ni maumivu makubwa sana kwa sababu unaweza kutumia karibu dola moja kwa dakika kuongea naye.
Makampuni yanafanya Magereza kama real estate deal yanawachaji serikali bei ya juu kama.kuwakodisha.
Makampuni yana lobby kupandisha bei ya vitu ili kupata faida zaidi. Suala zima la watu jufungwa linakuwa biashara tu badala ya ethics za kubadiki watu.
Pia wafungwa wanafanyishwa kazi sehemu nyingine hata kinyume na masharti ya ILO na haki za binadamu.
Kifupi watu wanaangalia wafungwa kama vichwa vya kutengenezea pesa tu.