Nimenyimwa kibali baada ya kuomba kujenga Magereza binafsi

anzisha kituo cha fire uwe na magari yako kwa ajili ya majanga
 
Aseee shukrani sana , kwa maelezo murua
 
Mkuu omba kibali cha kujenga mochwari , wakikupa kibali unaongeza huduma ya mazishi kwa njia mbali mbali kuna wanaotaka kuzika kwenye makaburi , kuna wanaotaka kuchoma miili na kuna baadhi wanataka kuozesha miili kwa ajili ya kutengenezea mboji "composite"

Unatengeza facility yako una offer hizo huduma na unatoa elimu kwa raia kwamba sio lazima mtu azikwe , anaweza kuchomwa familia ikatunza majivu au anaweza kuozeshwa kwenye kifaa maalum kwa siku 90 then ile mboji iliyotokana na mwili wake ikatumika kuoteshea miche au mimea ikaweka kumbukumbu kwamba mtu huyo hajafa ila amebadili mazingira na kuwa mmea

Zipo njia mbalimbali za mazishi.

Hapo hapo kwenye taasisi yako unaweza ukaanzisha ujengaji wa makaburi yaan zile tombstone za kibabe na ujengeaji wa makaburi kwa design nzuri kulingana na familia itakavyonyoosha mkono 🤣

Pia unaanzisha website ambayo watu inakua na list ya makaburi yote hata kama sio uliyoyaandaa wewe ambapo utaweka historia za hao waliofariki picha zao kama unaweza kuzipata hayo makaburi unayasajiri unatembelea grave yard zote hapa bongo hata za jeshi na makanisani ! Hata kama itakua ni tarehe( kuz-kufa) na majina ya marehemu, picha n.k

Mkuu nitafute tuongee 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…