Nimenyoosha mikono juu

Nimenyoosha mikono juu

Wanawake JF mshikeni mkono mwenzenu huyu anahitaji faraja, uangalizi wa karibu, kuoneshwa upendo wa hali ya juu, kujaliwa.

Nimepitia nyuzi zake hayuko sawa.. Hawa ndio watu hawachelewi kuchukua uamuzi mgumu(Mungu amuepushie mbali ujinga huo)
You men nadhani ndio wa kumshika Mkono zaidi ili ajifeel kujaliwa / kupendwa/ asifeel loneliness zaidi kuliko sie wanawake kwa wanawake!!

#Hasiyakechanya#
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
sasa na sisi unatusimulia maumivu tujumuike na wewe au? sema nini kimetokea kwanini imekuwa hivyo na imekuwaje umerudi zero au ulikuwa bwege kila kitu mwamme au ndo anafanya
 
Huenda ukawa sahihi katika hili, tutajitahidi. Jf ni familia.
You men nadhani ndio wa kumshika Mkono zaidi ili ajifeel kujaliwa / kupendwa/ asifeel loneliness zaidi kuliko sie wanawake kwa wanawake!!

#Hasiyakechanya#
 
Kipi umekimiss kwa huyo jamaa mpaka uwe na maumivu hivyo?

Mkuyenge hakupi
Kakununia
Ana wanawake wengi
Hajari watoto
Hakupendi.

Au ni handsome sana??
Au unaogopa mtaa utakuonaje miaka 34 hujaolewa??
Au unaogopa jamii itakushangaa kua umeachwa??

Watoto unao tena 2 kabisa, si ajabu kazi/shughuli ya kukuingizia kipato unayo..

Jitathmini ndgu yangu.
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Wazaz wako wakija kusoma andiko hili ajui watajiskiaje.. wamekuzaa.. wamekusomesha had umekua mtu mzima. Gharama nying.. leo hii umeamua kuteseka na mapenz sabab ndo eneo ambalo umeona la muhimu saaaaana kuliko chochote maishan..

Sis wanadam ni viumbe wa ajabu sana aisee.. badala uwekeze akil kwenye mambo ya maana.. unaendekeza mizagamuo.. daah
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Men aren't masculine enough and women aren't feminine enough.

But it's men who need to step up, not women, yes?

Why is that? If the genders are "equal in value" why is one gender always more responsible than the other, whilst the other just complains and does nothing to help?
 
shida ilianzia hapa

 
"Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana"

Pale uhalisia unapokua mgumu kuukabili. Hakikisha haukosi upendo wako binafsi Sis.
 
Poleh sana

Japo mi nakushauri upumzike afu badae urudi kwako

Mna mtoto
 
Back
Top Bottom