hahahaha! Nyapu ni nyapu tu wakuu. Katika maisha yangu ukisikia natembea na mtu aliyenizidi umri,basi nikamatwe nifungwe kamba nipelekwe milembe dodoma haraka iwezekanavyo,maana itakuwa si utashi wangu bali ukichaa umeniganda. Vijana wenzangu msivutike na kuingia kingi kutokana na uzi wangu huu,nimeuandika kwa ajiri ya jokes tu.Dogo anazingua..
Ungeupeleka jukwaa la jokes huko wangekuelewa mapema.hahahaha! Nyapu ni nyapu tu wakuu. Katika maisha yangu ukisikia natembea na mtu aliyenizidi umri,basi nikamatwe nifungwe kamba nipelekwe milembe dodoma haraka iwezekanavyo,maana itakuwa si utashi wangu bali ukichaa umeniganda. Vijana wenzangu msivutike na kuingia kingi kutokana na uzi wangu huu,nimeuandika kwa ajiri ya jokes tu.
Mpaka ukauliza ni dhahiri umeona umepotea njia, kwani lengo lako ni kwenda wapiWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Si mwanaume? Ni shoga kumbe?ni sahihi mkuu kuoa kwani we si mwanaume
Y'r laughing cocastic![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wewe ni emenuel macron
sorry mkuu,story zangu ni za kusadikika na kufikiri tu si za ukweli. Napenda tu kuanzisha mada ijadiliwe hiyo ndy furaha yangu mkuu.Binafsi nimechoka na uwongo wako mara watafuta mke, mara maharii ilikuwa kubwa, Juzi watuma nauli akufuate, mara katoroka kijijini saa hizi upo na bi. Kizee
Kwa kuwa tunaomba ushauriWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Ok holoholosorry mkuu,story zangu ni za kusadikika na kufikiri tu si za ukweli. Napenda tu kuanzisha mada ijadiliwe hiyo ndy furaha yangu mkuu.
Bro uki pata mwenye 80, nipasieUmeoa Binti mdogo hadi nakuonea wivu mi namfukuzia mwenye miaka 76
huu Sasa ni zaidi ya uuaji😂😂Ni sahihi.thank you
Toka kama ulivyoingiaWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Ame disappoint brotherhood aisee 😂 😂Kijana tafuta hela uinjoy papuchi za vijana wenzako. Acha kudanga kwa wabibi, umeelewa?
Kwamba huyo bibi kizee ni mwana juve🤣😂Juventus... Watoto mtapataje sasa hapo?, hata hivyo hongera kwa kuwa jasiri.