Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Ushauri kuntu kabisa huu Shadeeya
 
Sasa tatizo hapo ni lipi ....tuliza boli mkubwa
 
Mmemaliza field?
 
Wewe bado ni kijana wa kiume!! Wanaume hatuoni hizo kama ni kero ndani ya ndoa.
 
Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
Wewe! Beberu ndio jina langu humu [emoji15][emoji15][emoji15] kwahiyo mimi nanuka?!

Jokes!!
 
Wewe! Beberu ndio jina langu humu [emoji15][emoji15][emoji15] kwahiyo mimi nanuka?!

Jokes!!
Sasa Kama huongi unategema Nini...Makwapa yanunuka Kama beberu..
.jitahidi kuoga mkuu
 
Aiseeeeee kwaiyo na mm unanishauriiii nisioe kabsa sio
 
Namba nne mwambie kabisa sipendi kuulizwaulizwa maswali ya kijinga hayo mengine ni akili yako tu,nasisitiza tena usikubali ujinga wa namba nne ukiukubali ipo siku utajuta.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hilohilo chanongo linamfaa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…