Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Sasa we ndugu kama umefungua biashara bila kufanya utafiti wa eneo, wateja aina ya bidhaa faida yake, je Biashara ikikudodea unalaumu wafanyabiashara wengine? Ebo, Lete kisa hapa kwa nini kanuna? Tunataka tukalale na wake zetu. Na wewe ulioa kwa lengo gani?
 
Kammis msela wake anatafta sababu akapashe kiporoooo
 
Asante kwa ushauri wako, nimekuelewa vyema mkuu!
 
Atakuja akuue huyo mental health is real mkuu inaweza ukawa unaishi na mgonjwa wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…