Kammis msela wake anatafta sababu akapashe kiporooooNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Asante kwa ushauri wako, nimekuelewa vyema mkuu!Ndugu inabidi uwaelewe wanawake aisee.Haya mambo hutaambiwa au kufundishwa na mchungaji wako au padre haya mambo utaambiwa na wanaume wenzio.
1.Jitahidi usimind vitu vidogo hivyo
2.Wanawake wako very complex kuliko wanaume - wanahisia na kusumbuliwa na vitu vingi.
3.Jifunze mkeo akinuna usimchokonoe na kupambana kujua tatizo ni nini au ukaanza kujihisi.Utakuta hata wewe huusiki wala hakuwazi wewe - hormones zimechangamka au ana mambo personal yanamsumbua
4.Kuwa busy: na kama huwezi basi nenda katembee huko kwa wadau piga moja mbili ukirudi nyumbani unapumzika
5.Usilazimishe kula mzigo kama unavyoshauriwa humu - utazidi kuharibu - just give her space atakuwa tu sawa.
6.Tambua hata unyumba jiandae kupitisha hata miezi 4 - usije sasa ukarudi humu kuanzisha uzi wa kuvunja ndoa kisa mzigo.
7.Uliza wanaume wenzio wanasurvive vipi then jifunze, acha kulalamika mitandaoni au kwa watu wa mtaani ovyo utamdhalilisha na wote mtajivunjia heshima.
Unalalamika kununiwa hivi husomi mitandaoni wenzako wanafilisiwa na wake zao wa ndoa wanarudi kuwa maskini.Ishi na mkeo kwa akili - muelewe, mchukulie madhaifu yake, sononeka, muonee huruma, they are very weak physically, emotionally n.k Wanaume wote unaokutana nao nje huko wana mabalaa hili la kwako cha mtoto - wengine wanakutamia kabisa - watu wanabeba misalaba sio mchezo.
Mzee hii ndoa sio mali ya kanisa, ni mali yangu!Mzee ndoa ni ndoano. Kama mlipelekana kanisani ndo imeisha hakuna kutoka.
Basi rusha taulo mzee. Tema bung'oo. 😁Mzee hii ndoa sio mali ya kanisa, ni mali yangu!
Kesho lazima akaungane na ndugu zake .Basi rusha taulo mzee. Tema bong'oo. [emoji16]
Haha! Unataka kusema bado hii ni introductory tu au?BAdo hujasema
Atakuja akuue huyo mental health is real mkuu inaweza ukawa unaishi na mgonjwa wa akiliNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Yeah uhakikaaHaha! Unataka kusema bado hii ni introductory tu au?
Mbususu ndio nn lakn naona lina2mika sana hilo neno humu jfTatizo watoa comment hamjamuelewa mtoa mada shida sio mbususu eh 🙌🏾 alitaka kuongea na mke Kawa bubu Tena mda mrefu asa amekwazika nyie mmekazana mbususu😹😹😹🙌🏾
Maumbile ya keMbususu ndio nn lakn naona lina2mika sana hilo neno humu jf