Nimeolewa ila huyu mkaka mbaya sana

Nimeolewa ila huyu mkaka mbaya sana

Ebu jikaze wewe unamdekea Nani? Mada zako zakisenge sengeeee
 
Heshimu ndoa yako, kaa mbali na huyo mwarabu koko.
 
Hivi hakuna tetesi huko milembe kuwa kuna mgonjwa katoroka..??
 
Nimeuelewa mwandiko wako Ila narudia Ila jiangalie usije fanya maisha yenu 3 mmoja akachomolewa roho
 
Lala salama dear.
Ila tu angalia usije kosa mwana na maji ya Moto.
 
Juni 3 umeweka uzi wa kukuta kondom kwa mchumba Leo hii unae mume!
Ehe naukasoma nizamani
Matatizo ya kuandika uzi huku mnapiga story unakoswa hata namna ya kupangilia chai yako.
Sina hiyo kitu UMBEYA mi nalea so kama nalea ndio nimekosea kuandika huu uzi maana kababy kanasumbua .
Ukiwa mzazi wa mtoto mchanga anayeanza kutambua mambo kuota meno ndio utajua na maanisha nini.
Saivi huelewi.
 
Kashindwa kutulia na babu yake unampa kazi ya kutulia tena?
Wewee kutulia ni ile siku huna pumzii wewe ni msichana damu inachemka nikitaka atagongewa tu penda,asipende ila shida ni mmoja mi MKE WA MTU namsimamo mme wangu ananijali ananipenda mikasi anajua vizuri sina haja ya kuliwa liwa ovyo hapa na changamsha genge mapenzi yapo na akifa kwa uzee basi navaa chupi ya chuma.
Mbona nilipokuwa single alikuwa kafunga vioo nimeolewa ndio anamadai kashusha tenti.
Sisi wachaga tunaakili ya mbeleni natunasoma ramani sio uchi hatudati na choo tunadata na nyumbaa.
 
Back
Top Bottom